Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chakula chochote kile ambacho ni kizuri kwako na utajisikia vizuri kukilaSalam kwenu wana jf, kama kichwa kilivyojikita naomba kufahamu ni vyakula gani vinasaidia kuweka vizuri saikology ya mtu...?
Sawa mkuu nashukuru sana kwa ushauriMaji ni namba moja.....ukiwa na stress, hasira, huzuni, umechamgamka kupitiliza, au kukosa amani....we chukua gudulia yako ya maji na glass, kuwa unapiga funda zako taratibu wakati unasikiliza muziki wa taratibu, then utaona utavyojisikia poa
KaribuAsante kwa ushauri chief
Sawa mkuu asante, bila kuchoka ufafanuzi zaidi juu ya vyakula vinavyoweza kumsaidia mtu mwenye msongo wa mawazo...? Tupeni elimu juu ya hilo plz.Kuna aina 7 za aina ya vyakula vinavyohitajika mwilini lakin si vyote ni sahihi kwa mahitaji ya mwilii yanayohitajika katika kuboresha mwili uwe na afya njema,fat na protein inahitajika mwilini kwa ajili ya kufany ubongo wako ufany kazi vizur na kuepukan lile tatz linalowakumba wengi,ni tatizo la kutopoteza kumbukumbu na vitamin ni kwa ajilii ya kurutubisha ama kung'arisha ngozi yako iwe imara ili kujikinga na magonjwa ya ngozi mbali mbali