Nimejiajiri sasa mkuu...sasa nina muda wa kujiachia...mkuu vp umeanza likizo nini?
Usiache.Mkuu unataka useme nisiache kula dagaa na kabichi nilizoanza kula kitambo?
Nyama ya mbwa iliyosindikwa vizuri kabisa from China.Achana na kabichi kwanza ukiwa na hela vyakula gani unatakiwa uvipige kwa wingi ili kufidia zile haso na misoto uliyopitia kitambo.
Najua papuchi lazima zimegwe sawa tena ukianza na wale waliokulingia wakati ukiwa kapuku,
Leo tujadili tu kwanza msosi.
dah hongera umenishtua kukuona mida hiiNimejiajiri sasa mkuu...sasa nina muda wa kujiachia...
eeeee ndiooo👌👌👌👌Ndio maana mnaishia kupata kisukari pindi mkijaaliwa senti za kubadili vyakula.
Asante, kawaida mkuu...dah hongera umenishtua kukuona mida hii
Eeee,,halafu uwe unatembea na kimsafara,,magari at least matatu yakufuate nyumaKwa hiyo soon naanza kuipiga hiyo misosi na kutembelea sehemu kali kali.