Cha ajabu huku mikoani hali ni tete.Leonilienda siko la Buguruni nilichokutana nacho
Nyanya kisado 2500
Nyanyachungu fungu la 2000 hubebi.
Viazi mviringo kindoo kidogo 3000
Mchele 1800
Vitunguu vya 2000 huwezi kubeba
Dk Mwigulu au marehemu Mafuru mlifanyafanyaje hapo
Au ndio kuadimika kwa shilingi
Unafurahia wewe....Wapi nimesema inaniuma,mimi maaikini nafurahia hiyo hali,au labda tuseme nisiwastue wasije kupandisha
Uko sahihi,soko la temeke ndio funga kazi,vitu bei chee sanaNiliambiwa na mzee mmoja kiwa soko la Buguruni na temeke ndio masoko yenye bidhaa zenye bei ndogo zaidi kwa Dar nzima,hii ni kutokana na jamii iliyomzunguka masoko hayo ni ya kimaskini hata karoti na hoho wanauza hadi nusu kwa hamsini
USSR
Ndio Stereo? Hizo ni stori tu bei ni zile zile wakati wa mavunoUko sahihi,soko la temeke ndio funga kazi,vitu bei chee sana
Kuna umuhimu wa watu kutembelea masoko badala ya kulia bei huku wanaonunua kwenye masoko kama mnazi mmoja na kule Masalia au mbezi mwisho kwa mabepariUko sahihi,soko la temeke ndio funga kazi,vitu bei chee sana
Leonilienda siko la Buguruni nilichokutana nacho
Nyanya kisado 2500
Nyanyachungu fungu la 2000 hubebi.
Viazi mviringo kindoo kidogo 3000
Mchele 1800
Vitunguu vya 2000 huwezi kubeba
Dk Mwigulu au marehemu Mafuru mlifanyafanyaje hapo
Au ndio kuadimika kwa shilingi
Binadamu hawana wema. Vyakula vikipanda tunapiga kelele, serikali haikemei wafanyabiashara wwnapandisha bei ziko juu. Leo vyakula bei iko chini mnalalamika. Ndiyo maana Magufuli aliwaambia wakulima uzeni mahindi hata laki 5 gunia, maana hawakukusaidia kulima. Vyakula bei au kushika huamuliwa na nguvu ya soko lenyewe. Mwaka jana alizeti ilikuwa 50,000 kwa gunia leo hii ni 130,000.Leonilienda siko la Buguruni nilichokutana nacho
Nyanya kisado 2500
Nyanyachungu fungu la 2000 hubebi.
Viazi mviringo kindoo kidogo 3000
Mchele 1800
Vitunguu vya 2000 huwezi kubeba
Dk Mwigulu au marehemu Mafuru mlifanyafanyaje hapo
Au ndio kuadimika kwa shilingi
Uko sahihi,soko la temeke ndio funga kazi,vitu bei chee sana
Buguruni inauzwa mpaka hoho nusu, yaani unaenda unakatiwa hoho nusu unaenda kuunga mbogaNiliambiwa na mzee mmoja kiwa soko la Buguruni na temeke ndio masoko yenye bidhaa zenye bei ndogo zaidi kwa Dar nzima,hii ni kutokana na jamii iliyomzunguka masoko hayo ni ya kimaskini hata karoti na hoho wanauza hadi nusu kwa hamsini
USSR
Kwa hyo unataka wauze bei kubwa bidhaa zao zioze!?😂Leonilienda siko la Buguruni nilichokutana nacho
Nyanya kisado 2500
Nyanyachungu fungu la 2000 hubebi.
Viazi mviringo kindoo kidogo 3000
Mchele 1800
Vitunguu vya 2000 huwezi kubeba
Dk Mwigulu au marehemu Mafuru mlifanyafanyaje hapo
Au ndio kuadimika kwa shilingi
Wapi kalalamika????Binadamu hawana wema. Vyakula vikipanda tunapiga kelele, serikali haikemei wafanyabiashara wwnapandisha bei ziko juu. Leo vyakula bei iko chini mnalalamika. Ndiyo maana Magufuli aliwaambia wakulima uzeni mahindi hata laki 5 gunia, maana hawakukusaidia kulima. Vyakula bei au kushika huamuliwa na nguvu ya soko lenyewe. Mwaka jana alizeti ilikuwa 50,000 kwa gunia leo hii ni 130,000.
Huijui soko ya Ilala weweNiliambiwa na mzee mmoja kiwa soko la Buguruni na temeke ndio masoko yenye bidhaa zenye bei ndogo zaidi kwa Dar nzima,hii ni kutokana na jamii iliyomzunguka masoko hayo ni ya kimaskini hata karoti na hoho wanauza hadi nusu kwa hamsini
USSR