Vyakula vya boarding schools, vinapunguza hamu ya ngono?

Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,957
Reaction score
827
WanaJF kuna ukweli gani juu ya hili, kwamba vyakula vya boarding schools huwa vinawekwa mafuta ya taa ili kupunguza hamu ya ngono kwa wanafunzi.
Je, mafuta haya ya taa hayana athari za kiafya kwa mtumiaji. mfano, mwanafunzi anayekula vyakula hivyo kwa miaka sita (kidato cha kwanza mpaka cha sita)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…