Vyakula vya kukaanga sio vizuri kwa Afya

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Wakazi wengi wa Dar es Salaam wanapenda kula kula vyakula vya njiani, vyakula vya kukaanga kama kachori kuku supu na chips.


Hivi vyakula ni hatari kwa afya yako ifike mahali watanzania tujionee huruma tubadilike tuwe na ukili vyakula tunavyo vingi sana vya asili haiwezekani unafurahia kula mafuta yanayoganda yakiwekwa kwenye chupa.
 
Toa athari ya hivyo vyakula wanavyokula na manufaa ya vyakula vya asili.
 
Toa athari ya hivyo vyakula wanavyokula na manufaa ya vyakula vya asili.
Madhara yake yapo wazi: Upande wa virutubisho, virutubisho vingi huharibiwa wakati wa kukaanga kutokana na joto kali la mafuta ya kukaangia.

Mbali na hayo: Mafuta yanayotumika kupikia yametumika sana kiasi kwamba yamegeuka kuwa sumu (Radicals) na ndio yanashukiwa kuhusika na ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama Saratani ya koo la chakula, Saratani ya utumbo na Magonjwa ya Moyo.

#Unlearn to Learn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…