Ukipata ndugu/jamaa anayetokea maeneo unakolimwa mpunga agiza kitu cha asili, ukitegemea kununua mtaani utaishia Kula products za Thailand, kupata radha mpaka ujaze maviungo kibao kwa dinning tableWakuu najua mko poa, yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile. Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????
Ni kweli mkuu,vyakula vya siku hizi ni shida.Hadi kuku wa kienyeji kakosa ladha,nilipouliza kulikoni... ninaambiwa na wenyewe wanapewa vyakula vya kisasa.Ukipata ndugu/jamaa anayetokea maeneo unakolimwa mpunga agiza kitu cha asili, ukitegemea kununua mtaani utaishia Kula products za Thailand, kupata radha mpaka ujaze maviungo kibao kwa dinning table
Mbona mnaenda mbali nyama tu za ng'ombe za siku hizi hazina ladha kama za zamani au kwa vile wa dar kwenye vyakula hasa mchele enzi za mwalimu kuna mchele mmoja matata sana mchele wa mbeya walahi ulikuwa ukiuweka kwenye kabati la vyakula au kwenye ndoo ukiufunua mwaaa harufu nzuuuri unahisi kula bila kupikwa siku hizi mmhh majanga ule udongo wa zamani uliokuwa na rutuba ya asili tumeuharibu na kilimo sasa amini hivyo hawa wazungu wana lao jambo hata enzi ya mwalimu ulikiwa ukienda vijijini utakutana na kila aina ya matunda siku hizi mmh hata ile miti yenyewe inazidi kupungua.Mia kabisa mleta uzi.
Kwa sasa vyakula vingi havina harufu wala ladha mdomoni.
Mimi kipindi nakua nilikuwa mpenzi sana wa viazi mbatata vya kuchemsha na nilichokuwa napenda ni ile ladha yake pamoja na unga unga fulani hivi(sio amaizingi!)...Kwa sasa nimeacha huo mlo,viazi havina ladha na havina ule unga unga baada ya kuchemshwa.Kwa sasa ukichemsha kiazi kinakuwa kama kimelowekwa,kikwetu tunaita "vichelema".
Ukweli .....zamani pilau inanukia mtaa mzima
siku hizi pilau hata nyumba kumi ikipikwa husikii
Sema la ukweli nimezunguka maeneo mengi sio kama nafagilia sijawahi oma mikate mitamu kama mikate fulani hivi inatengenezwa Arusha kweli huishi kuila kuna mingine ya njano uupate wa moto moto na ile meupe weka mbali na watoto hii huku najionea ipo ipo tuMikate ya siku hizi hayaoti ukungu(mold) pamoja na kuhifadhiwa muda mrefu. Je nini madhara ya preservatives zinazotimika kwa afya zetu?
Wakuu najua mko poa, yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile. Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????
Mkuu unazungumzia mikate ya Super loaf auSema la ukweli nimezunguka maeneo mengi sio kama nafagilia sijawahi oma mikate mitamu kama mikate fulani hivi inatengenezwa Arusha kweli huishi kuila kuna mingine ya njano uupate wa moto moto na ile meupe weka mbali na watoto hii huku najionea ipo ipo tu
Hahaa umenikumbusha mchuzi au mboga za majani upikie kwenye chungu na jiko la mkaa au kuni weee sio kujilamba hukoWapishi wa siku hizi nao wavivu pia inachangia viungo wananunua vishasagwa au kumenya unategemea harufu itatokea wapi? Kitunguu thomu kinamenywa mwezi mzima kinatiwa kwa plastic alafu upishi wenyewe pia tunaripua hatuna tungo Kama wazee wetu wa zamani kwa mfano mchuzi ulikua unapikiwa kwenye chungu cha udongo siku hizi kwenye sufuria wengine hata kwenye microwave N.k
Sijui inaitwaje lakini ni mikuubwa kwa juu imefungwa na kama kaplasiki kaguumu aa hii mikate poa sana sijawahi ona huku dar sijawai ona mikate mingi wanalipua lipuaMkuu unazungumzia mikate ya Super loaf au
Super loaf mikate mitam sana asee.Sijui inaitwaje lakini ni mikuubwa kwa juu imefungwa na kama kaplasiki kaguumu aa hii mikate poa sana sijawahi ona huku dar sijawai ona mikate mingi wanalipua lipua
Pole kwa yaliyo kukuta naona ni kwako tu ndugu yanguWakuu najua mko poa, yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile. Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????
Tuliacha kulima vyakula vya asili yetu kisa mabadiliko ya tabia nchi sasa tunakula vyakula ambavyo mbegu zake nimefanyiwa michakato kwenye maabara kama seedco na watafiti wengineo. Zamani ilikuwa ukila hindi la kuchoma lilikuwa tamu sana haya ya siku hizi hata ukilitoa shambani muda huo huo na kulichoma bado radha yake kawaida sanaWakuu najua mko poa, yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile. Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una utani na watu wa Dar eeeeVyakula vingi vya dar havina ladha ila ukiwa mkoani vikapikwa fresh vina taste aisee. Pia sikuhizi kuna michakachuo ya misosi. Wali uwe mtamu upikwe na mkaa.