Vyama feki

Vyama feki

Asubuhinjema

Member
Joined
Sep 17, 2009
Posts
5
Reaction score
0
Kwa kweli hakuna opposition party, wote ni walewale, walitimua na kujifanya opposition, ukweli wote wako kwenye payroll ya CCM!
 
Kwa kweli hakuna opposition party, wote ni walewale, walitimua na kujifanya opposition, ukweli wote wako kwenye payroll ya CCM!



Mkuu Mod
futa huu udaku hawa jamaa wa akili mgando naona wanatumwa kila mara kutuondoa kwenye hoja za maana.

Una ushahidi wa kutumwa kwa vyama hivyo ? Je unaweza kuvitaja vyama hivyo ?
 
Kwa kweli hakuna opposition party, wote ni walewale, walitimua na kujifanya opposition, ukweli wote wako kwenye payroll ya CCM!
Kama unatarajia watu wa upinzani ni lazima watoke kuzimu,basi utasubiri sana na pingine tukakuzika na bado awajatokea ,ivi umisaau ka WaTz wote walikuwa Tanu na ASP na baadae ZZM ? Ukiwa mwanachama au uziwe mwanachama Raisi ni Nyerere tu au mwengine yeyote atokanae na CCM.
 
hayo umeyatoa wapi ndugu yetu..........ulitaka walipwe kwa payroll ipi?
Kwa kweli hakuna opposition party, wote ni walewale, walitimua na kujifanya opposition, ukweli wote wako kwenye payroll ya CCM!
 
Back
Top Bottom