Rasimu ya katiba imeweka 'vizingiti' kwa watakao gombea nafasi fulani fulani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Vizingiti hivyo ni 'elimu' na 'umri', hii inatokana na umuhimu wa elimu katika kuendesha shughuli mbalimbali za mwanaadamu kwa usahihi na umakini.
CHADEMA kama mdau wa siasa nchini, ni chama kitakacho athirika vibaya na kigezo cha elimu kupewa kipaumbele.
Hii ina sababishwa na viongozi wengi wa chama hichi kuongoza kwa mazoea (uongozi ni kipaji) wakati siasa ya sasa inapaswa ifanywe kitaalamu.
Maeneo ambayo CHADEMA itaathirika sana katika uchaguzi mkuu ujao ni ya 'URAIS' na 'UBUNGE', kufuatia kiwango kipya cha elimu kuwekwa kama kigezo cha mtu kupata uhalali wa kugombea.
Kwa upande wa urais, mgombea anapaswa awe na angalau shahada, aidha kwa upande wa ubunge mgombea anapaswa angalau awe na elimu ya kidato cha nne. Kwa viwango hivi vipya, 'majembe' ya CHADEMA hayata wania nafasi tajwa.
Kwa rasimu hii, upinzani umeathiriwa zaidi, kwani elimu ndio kitanzi chetu CCM dhidi ya CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini.
Asante jaji Warioba, asante Tume.
Vizingiti hivyo ni 'elimu' na 'umri', hii inatokana na umuhimu wa elimu katika kuendesha shughuli mbalimbali za mwanaadamu kwa usahihi na umakini.
CHADEMA kama mdau wa siasa nchini, ni chama kitakacho athirika vibaya na kigezo cha elimu kupewa kipaumbele.
Hii ina sababishwa na viongozi wengi wa chama hichi kuongoza kwa mazoea (uongozi ni kipaji) wakati siasa ya sasa inapaswa ifanywe kitaalamu.
Maeneo ambayo CHADEMA itaathirika sana katika uchaguzi mkuu ujao ni ya 'URAIS' na 'UBUNGE', kufuatia kiwango kipya cha elimu kuwekwa kama kigezo cha mtu kupata uhalali wa kugombea.
Kwa upande wa urais, mgombea anapaswa awe na angalau shahada, aidha kwa upande wa ubunge mgombea anapaswa angalau awe na elimu ya kidato cha nne. Kwa viwango hivi vipya, 'majembe' ya CHADEMA hayata wania nafasi tajwa.
Kwa rasimu hii, upinzani umeathiriwa zaidi, kwani elimu ndio kitanzi chetu CCM dhidi ya CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini.
Asante jaji Warioba, asante Tume.