Ndugu zanguni,
Nilikuwa nimelala na ndo nimeamka!
Sasa hivi, wagombea wetu wa uchaguzi ujao watapita kwa chama lipi? cha-CCM, cha-DEMA, Cha-NCCR, cha-CUF ama ?? nadhani sasa hivi vyama vikuu vipya ni WAKATOLIKI na SHURA YA WAISLAMU. Sasa ngoma iliyopo ni je vyama hivi vitawasupoti akina nani/wagombea gani???
Tuombe sana,
Amani.