Vyama vya kitaaluma viko wapi? Tanganyika Law Society tuongozeni tupinge hili

Vyama vya kitaaluma viko wapi? Tanganyika Law Society tuongozeni tupinge hili

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Vi Wapi vyama vya kitaaluma?

Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria?

Yaani mswada unapendekeza Usalama wa Taifa wapewe Kinga Kwa makosa ya kijinai kweli?kweli kabisa Usalama wa Taifa wa Tanzania Hawa Hawa wenye weredi huu ambao,tuna wasiwasi ndio wanao shutumiwa kumpiga tundu Lisu risasi?

Hawa wanao shutumiwa kumpoteza Ben saanane?

Hawa Hawa wanao semekana kumteka kabendera,Roma mkatoliki,na wengine wengi na hakuna aliye safisha anga Kwa kuusema ukweli kama kweli mi wao au sio wao? Nauliza ni hao hao ambao Mimi ukutana kwenye grocery wanakunywa pombe Kali na kujitamba yakuwa wao ni nani?

Mswada unapendekeza mtu yyte atakae wajua na kuwasema nae achukuliwe hatua?yaani nikimkuta Usalama anabaka nikimpiga picha na kumtuma kwenye mitandao nimekwisha reali?

Mswada unataka mgombea yoyote nafasi za juu alindwe na Usalama wa Taifa na alipoti Kwa Rais? Very stupid.

Nauliza mu wapi chama Cha wanasheria mtupngoze katika Ili? Nuwa wapi Peter kibatala na Afande Wakili msomi peter Madereka mtuongoze tuandamane KUPINGA upuuzi HUU?
 
Kinga hio itamnufaisha ccm kwa maslahi yake sio kwa maslahi ya TISS.
 
Nampenda Rais SAMIA.
Ila kwa hili HAPANA.
Uhai wa mtu sio kitu cha kuchezea(maana hakiishii duniani tu, taarifa yake IPO pia mbinguni).
Yaani mtu uue mwenzio kwa sababu za kisiasa halafu usishtakiwe!.

Believe or not, hiki kipengele hata kikipita, kitakuja kuondolewa baada ya muda mfupi.
Watawala pia wakumbuke vitu viwili:
1. Kuna maisha baada ya utawala
2. Mamlaka ya mwisho katika Taifa lolote yapo chini ya wananchi.


I love my country and nation more than anything on earth.
 
Vi Wapi vyama vya kitaaluma?

Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria?

Yaani mswada unapendekeza Usalama wa Taifa wapewe Kinga Kwa makosa ya kijinai kweli?kweli kabisa Usalama wa Taifa wa Tanzania Hawa Hawa wenye weredi huu ambao,tuna wasiwasi ndio wanao shutumiwa kumpiga tundu Lisu risasi?

Hawa wanao shutumiwa kumpoteza Ben saanane?

Hawa Hawa wanao semekana kumteka kabendera,Roma mkatoliki,na wengine wengi na hakuna aliye safisha anga Kwa kuusema ukweli kama kweli mi wao au sio wao? Nauliza ni hao hao ambao Mimi ukutana kwenye grocery wanakunywa pombe Kali na kujitamba yakuwa wao ni nani?

Mswada unapendekeza mtu yyte atakae wajua na kuwasema nae achukuliwe hatua?yaani nikimkuta Usalama anabaka nikimpiga picha na kumtuma kwenye mitandao nimekwisha reali?

Mswada unataka mgombea yoyote nafasi za juu alindwe na Usalama wa Taifa na alipoti Kwa Rais? Very stupid.

Nauliza mu wapi chama Cha wanasheria mtupngoze katika Ili? Nuwa wapi Peter kibatala na Afande Wakili msomi peter Madereka mtuongoze tuandamane KUPINGA upuuzi HUU?
Tundu lissu alipoongea ulimwita mpuuzi

Sasa unataka kitu gani

Umewahi hudhuria oparesheni 255 ya chadema?

Tundu lisu ameshaonya tangu week mbili zilizopita
 
Nampenda Rais SAMIA.
Ila kwa hili HAPANA.
Uhai wa mtu sio kitu cha kuchezea(maana hakiishii duniani tu, taarifa yake IPO pia mbinguni).
Yaani mtu uue mwenzio kwa sababu za kisiasa halafu usishtakiwe!.

Believe or not, hiki kipengele hata kikipita, kitakuja kuondolewa baada ya muda mfupi.
Watawala pia wakumbuke vitu viwili:
1. Kuna maisha baada ya utawala
2. Mamlaka ya mwisho katika Taifa lolote yapo chini ya wananchi.


I love my country and nation more than anything on earth.
WAPUUIZ NI WEWE, ETI SAMIAAGAIN HUJUI KWA KUANDIKA HIVYO UNAMPA KICHWA CHA KUFANYA HIL ANALOTAKA KULIFANYA.
BILA KUWA KAMA CONGO, ZAIRE, SUDAN,HATUTATOKA HAPA TULIPO
 
Vi Wapi vyama vya kitaaluma?

Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria?

Yaani mswada unapendekeza Usalama wa Taifa wapewe Kinga Kwa makosa ya kijinai kweli?kweli kabisa Usalama wa Taifa wa Tanzania Hawa Hawa wenye weredi huu ambao,tuna wasiwasi ndio wanao shutumiwa kumpiga tundu Lisu risasi?

Hawa wanao shutumiwa kumpoteza Ben saanane?

Hawa Hawa wanao semekana kumteka kabendera,Roma mkatoliki,na wengine wengi na hakuna aliye safisha anga Kwa kuusema ukweli kama kweli mi wao au sio wao? Nauliza ni hao hao ambao Mimi ukutana kwenye grocery wanakunywa pombe Kali na kujitamba yakuwa wao ni nani?

Mswada unapendekeza mtu yyte atakae wajua na kuwasema nae achukuliwe hatua?yaani nikimkuta Usalama anabaka nikimpiga picha na kumtuma kwenye mitandao nimekwisha reali?

Mswada unataka mgombea yoyote nafasi za juu alindwe na Usalama wa Taifa na alipoti Kwa Rais? Very stupid.

Nauliza mu wapi chama Cha wanasheria mtupngoze katika Ili? Nuwa wapi Peter kibatala na Afande Wakili msomi peter Madereka mtuongoze tuandamane KUPINGA upuuzi HUU?
Hivyo ni Vyama vya kihuni na mswada ukipigishwa cha kufanya ni kwenda mahakamani,act Huwa nawakubali kwenye hili
 
Back
Top Bottom