Vyama vya Siasa ni sehemu ya serikali hivyo havina Haki ya kuhodhi Mchakato wa Katiba Mpya

Vyama vya Siasa ni sehemu ya serikali hivyo havina Haki ya kuhodhi Mchakato wa Katiba Mpya

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Vyama vya Siasa ni sehemu ya serikali japo watu wengi wanaukwepa ukweli huu

Itoshe tu kusema Wananchi ndio wenye wajibu wa kujitengenezea Katiba yao na siyo wanasiasa

Mungu wa mbinguni awabariki
 
Vyama vya Siasa ni sehemu ya serikali japo watu wengi wanaukwepa ukweli huu

Itoshe tu kusema Wananchi ndio wenye wajibu wa kujitengenezea Katiba yao na siyo wanasiasa

Mungu wa mbinguni awabariki
Sisi wananchi............. Sisi wananchi tunatakiwa tutengeneze katiba ambayo inaonyesha tunavyo taka kujitawala. Hivyo katika mchakato wa katiba wanasiasa hawatakiwi kudominate bali wananchi wa kawaida. Namba za wanasiasa lazima zidhibitiwe vinginevyo itakula kwetu.
 
Back
Top Bottom