Vyama vya soka vya Wilaya vina manufaa gani kwa Maendeleo ya soka? Mfano hai ni TEFA

Vyama vya soka vya Wilaya vina manufaa gani kwa Maendeleo ya soka? Mfano hai ni TEFA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2025-02-07-14-02-12-1.png


Sijaona Chochote zaidi ya Migogoro na kulogana, Hebu angalieni Chama cha soka cha Temeke, miaka yoyote ni migogoro, fitna, Majungu na Uchawi.

Nashauri Vyama vya soka vya Wilaya Vifutwe, havina faida yoyote kwa maendeleo ya soka, Bali tukivifuta tutaokoa maisha ya watu maana hawatalogana
 
Back
Top Bottom