Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Voice of America (Idhaa ya Kiswahili) inaripoti kuwa vyama vya upinzani 14 katika jimbo la Iringa mjini vimeungana kukabiliana na Gwiji Chadema na Mafisadi CCM.
Kwa mujibu wa habari hiyo, Chadema hawamo katika ndoa hiyo haramu wakirejea taarifa za kikachero kuwa huo ni mpango mzima wa Chama Cha Mafisadi (CCM) kupunguza kura za Chadema.
(Hii hapa ni kwa Wana-iringa tu. Siyo kwa Wana-JF).
Waacheni wagombea waungane na unafiki wao.Walisha Chukua Chao Mapema hao. Si munajua Bilal amerudi tena huko (munafiukiri amefuata nini kama siyo kufungisha ndoa haramu?) Kwenye masanduku msitende dhambi ya mkamkosea Mungu.Chagueni Chadema.
Kwa mujibu wa habari hiyo, Chadema hawamo katika ndoa hiyo haramu wakirejea taarifa za kikachero kuwa huo ni mpango mzima wa Chama Cha Mafisadi (CCM) kupunguza kura za Chadema.
(Hii hapa ni kwa Wana-iringa tu. Siyo kwa Wana-JF).
Waacheni wagombea waungane na unafiki wao.Walisha Chukua Chao Mapema hao. Si munajua Bilal amerudi tena huko (munafiukiri amefuata nini kama siyo kufungisha ndoa haramu?) Kwenye masanduku msitende dhambi ya mkamkosea Mungu.Chagueni Chadema.