Elections 2010 Vyama Vya Upinzani Iringa Mjini Vyaungana: V.O.A

Kumbe chadema inatisha hivi eeeh?!!!

Nilishasema kuwa mkakati wa CCM ni kutumia jeshi lake la akiba lililoko kwenye vyama vya upinzani na Usalama wa Taifa kuhakikisha wanapita kwa hila yoyote. Hizi ni dalili tosha kwamba sasa hali ni tete na ccm wamekosa msimamo na staha. Chama kinachojisikiliza na kuacha kusikiliza watu mwisho wake ni kuanguka kwa kishindo. Mnachokiona iringa ni dalili ya kitakachotokea ktk siku ya kuhesabu kura. Amini nakwambia safari hii CCM wataiba kura kidogo mno lakini watawapa mamluki wao hela za kuibia kura ionekane kwamba upinzai wameiba kura (kupunguza za chadema). Dawa ya chadema ni kuwa makini na kutofungua mlango kwa wakala yeyote wa chama chochote
 
tehe kama nawaona wanyalukolo wanapigwa na mtogwa(ulanzi) wa mia tano tuu wanakunywaaaaaaaaaaaaaaaaaa wakiamka na hangover wananyosha vidole viwili chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

hizi dharau sasa
 
hustahili kuwa mwana CHADEMA kwa sababu huamini katika demokrasia, you are neither a great thinker even.... mara zote una -sound very violent na kwa kweli watu wa aina yenu, kuna umuhimu mkubwa wa kuwashuhulikia.
I like this forum kwa sababu inaonyesha wazi hisia za watu hata wasio na fikra pevu kama wewe.na kutokana na uwepo wa watu kama wewe ndani ya wafuasi wa chadema ndio maana CHADEMA kunaonekana harufu ya udini na ukabila.
wakati ukweli ni kwamba misingi ya uanzishwaji wa chadema imeegemea katika utaifa na ukombozi wa mtanzani na falsafa ya chadema inaonyesha hivyo...
Ila kosa lililofanywa na CCM linaelekea kurudiwa na CHADEMA kwa kuwa na wa2 wa aina ya mchukia fisadi
ndani ya chama.
Kama wanasiasa na washabiki wote wa siasa wangekuwa kama SLAA,ZITTO KABWE NA HAMMAD RASHID basi hii nchi ingekuwa paradiso
 
UKO RIGHT KAKA, jamaa sio tu kwamba sio great thinker but i think he doesn't think at all
 

Utajua kama inatisha ama inachekesha baada ya Oktoba 31. Usipotee tu humu. :becky:
 
Iringa hatudanganyiki,Tutamchagua MCHUNGAJI PETER MSIGWA na DR. SLAA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…