Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam, Kuna taarifa zimevuja kwamba vyama vya upinzani nchini(ukawa) vimezamiria kutoshiriki chaguzi zote zitazoitishwa na tume ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hii tume ni mali ya Ccm na imesheheni makada wa ccm. Mmoja wa wenyeviti wa ukawa amesema wanajiandaa kutoa tamko la pamoja la kutoshiriki uchaguzi wowote utaoitishwa na tume hii ya leo kwani haiko huru na haiwezi kutenda haki, kwani ipo kwa maslahi ya ccm.
Nimetafakari nikajiuliza km hili litawekana maana viongozi wa upinzani wengi wananjaa na niwasaliti miongoni mwao, pia wengi ni mapandikizi ya ccm wapo upinzani ili kudhoofisha nguvu ya upinzani. Mwaka huu tuna uchaguzi wa serikali za mitaa ngoja nivute subra nione km tetesi hizi zinaukweli.
Nimetafakari nikajiuliza km hili litawekana maana viongozi wa upinzani wengi wananjaa na niwasaliti miongoni mwao, pia wengi ni mapandikizi ya ccm wapo upinzani ili kudhoofisha nguvu ya upinzani. Mwaka huu tuna uchaguzi wa serikali za mitaa ngoja nivute subra nione km tetesi hizi zinaukweli.