Mndeme jeremia
Member
- Feb 11, 2020
- 5
- 2
Kumekuwa na Sintofahamu kuhusu mchakato wa baadhi ya vyama vya siasa kupata wawakilishi kuelekea uchaguzi wa serekali kuu na uchaguzi wa mwakani.
Vyama vingi vya siasa vimekua vikilalamika wagombea wao kuenguliwa kwa kukosa sifa za kugombea kwenye Chaguzi hizo, japo madai haya bado hayajathibitika ila ukweli ni kwamba maandalizi duni, pamoja na uhafifu wa juhudi za kujijenga kitaasisi kumekua mwiba kwa baadhi ya vyama hivyo.
Mathalani mchakato wa kuwapata wagombea wao umekua n wa kustukiza hivyo kushindwa kupata wagombea wenye uzoefu na taratibu za uchaguzi pamoja na sheria na kanuni zake...
Katika hali ya tofaut chama tawala (CCM) kimejitanabaisha wazi kwa kuweka mfumo mkali na wa wazi wa kuwachuja watia nia katika nafasi mbalimbali za uongozi, hivyo kuwafanya wagombea wao kuwa na uzoefu na taratibu,sheria na kanuni za uchaguzi, michakato hii huanza mapema na kujenga uelewa mkubwa kwa wagombea.
Soma Pia:
Rai yangu kwa vyama vingine ni kuendelea kujiimarisha kitaasisi ili kuweza kuweka wagombea wenye uwezo na sio wa kushtukiza
Vyama vingi vya siasa vimekua vikilalamika wagombea wao kuenguliwa kwa kukosa sifa za kugombea kwenye Chaguzi hizo, japo madai haya bado hayajathibitika ila ukweli ni kwamba maandalizi duni, pamoja na uhafifu wa juhudi za kujijenga kitaasisi kumekua mwiba kwa baadhi ya vyama hivyo.
Mathalani mchakato wa kuwapata wagombea wao umekua n wa kustukiza hivyo kushindwa kupata wagombea wenye uzoefu na taratibu za uchaguzi pamoja na sheria na kanuni zake...
Katika hali ya tofaut chama tawala (CCM) kimejitanabaisha wazi kwa kuweka mfumo mkali na wa wazi wa kuwachuja watia nia katika nafasi mbalimbali za uongozi, hivyo kuwafanya wagombea wao kuwa na uzoefu na taratibu,sheria na kanuni za uchaguzi, michakato hii huanza mapema na kujenga uelewa mkubwa kwa wagombea.
Soma Pia:
Rai yangu kwa vyama vingine ni kuendelea kujiimarisha kitaasisi ili kuweza kuweka wagombea wenye uwezo na sio wa kushtukiza