Vyama vya Ushirika vyavunja mkataba

Vyama vya Ushirika vyavunja mkataba

Ragamuffin

Senior Member
Joined
May 2, 2009
Posts
160
Reaction score
6
MENGI TO ACCOUNT FOR 'SILVERDALE FARM'

26.05.2009 1132 EAT
Serikali yabariki mkataba kuvunjwa

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Na Nakajumo James,Moshi [/FONT]​

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]SERIKALI imebariki maamuzi ya vyama vitatu vya ushirika vya msingi Uswa Mamba, Shari na Kyeri wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kutaka kuvunja mkataba na kampuni ya uwekezaji ya Fiona (T) LTD. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Mrajisi Msaidizi wa vyama vya ushirika mkoani Kilimanjaro, Kasya Kasya, aliyasema hayo wakati akizungumzia mgogoro baina ya mwekezaji huyo na bodi ya vyama hivyo. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Alisema mkutano wa vyama hivyo chini ya mwenyekiti wake, Bashiri Shoo, uliofanyika Mei 11 mwaka huu ulikuwa na baraka zake, baada ya yeye kuwa na majukumu mengine ya kiofisi. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Katika mkutano huo wanachama zaidi ya 300 vyama hivyo vilimtaka wakili wao, Apolo Maruma kumuandikia notisi ya siku 30 mwekezaji huyo, Fiona (T) Ltd, awe amekabidhi shamba kwa vyama hivyo. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]“Wanachama ndiyo wenye uamuzi wa mwisho na mali yao ambayo ni mashamba waliyomkabidhi mwekezaji, hatua ya kutaka kuvunja mktaba mimi siipingi, ila wafuate taratibu,”alisema Kasya. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Aidha vyama hivyo viliazimia kutoutambua mkataba wa maridhiano na mwekezaji huyo ambao pamoja na mambo mengine unaeleza kumsamehe deni la Sh milioni 72. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Akizungumzia uamuzi wa vyama hivyo, Kasya alivitaka vyama hivyo kutumia utaratibu uliotumika kuingia mkataba huo ili kuweza kuuvunja kama walivyoazimia. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Alisema vyama hivyo vinamlalamikia mwekezaji huyo kwa madai kwamba baada ya kufanya vyema katika miaka ya 1999 hadi 2003 kwa kuendeleza zao la kahawa, baada ya hapo alianza kung’oa kahawa na miti na kuotesha Mahindi na Maharage. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kwa upande wake, mwekezaji huyo, Benjamin Mengi, alipohojiwa kuhusu hali hiyo alishikilia msimamo wake kwamba hatambui maamuzi ya mkutano huo.[/FONT]
 
Last edited by a moderator:
'SILVERDALE CASE'

CORRUPTION CONTINUES

In early 2006, Benjamin Mengi sued British investors Stewart Middleton and Sarah Hermitage for statements printed by the Daily News in June 2006 (see article below).

The investors did not print, publish or write the article (the Daily News did so) and therefore could not be sued for Libel. Despite representations to the Chief Justice and Public Corruption Bureau (who agreed the proceedings were abusive) the Moshi Magistrates court allowed and heard the plaint and gave judgement to Mengi for TSH 90,000,000 ($90,000). Following this and despite further representations from the British Government, the courts ordered seizure of the investors property in October 2007 on the basis of the court ruling. The couple’s lawyer appealed the ruling and was summoned by the Moshi High Court (appeals division) to attend court on 27th February 2009 for a mention of the case. On appearance, the court stated that the appeal had been struck out two weeks earlier. The lawyer immediately filed an application to set the order aside and was told this week that the application could now not proceed as the court had ‘lost the file’.

Benjamin Mengi initiated the litigation against the investors in what is now widely known as the ‘Silverdale Case’. In May 2004 Benjamin and Millie Mengi, through their company Fiona Tanzania Ltd sold the lease to Silverdale & Mbono Farms (Hai District) to the investors company, Silverdale Tanzania Ltd and one year later, after negotiating to sell the lease a second time to British Investor Konrad Legg (Tudeley Estates) demanded the lease back. The litigation followed the investor’s refusal to do so together with fourteen other cases the investors describe as vexatious having no legal basis.

Tanzania’s most senior law officer Chief Justice Augustino Ramdhani, assured the British government in 2007, that he would review the cases against the investors and particularly that the above appeal would be heard. Having held up the cases in court for over eighteen months, the Chief Justice stated in January 2009 that he had changed his mind and would now not review the cases. He gave no reason for changing his mind. However, after continuous dialogue with former British High Commissioner to Tanzania Philip Parham, on the above appeal, he gave his assurances that the appeal would be heard.

The case was struck our three weeks after Mr. Parham left Tanzania.

Former British High Commissioner to Tanzania, Andrew Pocock describes the ‘Silverdale Case’ as a continuing outrage and in February 2008, the British Foreign and Commonwealth office in London, issued a statement to the BBC, that it had ‘..credible evidence of harassment and intimidation against the investors’. Despite several assurances to the British government from President Kikwete, that the ‘Silverdale Case’ would be fairly resolved, it remains very much unresolved and, set to undermine Tanzania’s commitment to the rule of law for the foreseeable future.
 

Attachments

Hawa mabalozi kwenda kuzungumza na Jaji wetu mkuu ili awape upendeleo wanafikiria nini. Mahakama zetu za Juu hazichezewi namna hiyo. Next time wakome! Waache mchakato wa sheria uende vile vile kama ni pole pole au kwa haraka maana kesi zetu nyingine zinachukua miaka!

Tena washukuru sikujua kwa upande wangu kuna Balozi anajaribu kuinfluence the course of justice!
 
Hapana MK, Huyu jaji Augtin Ramadhani alionyesha kigeogeo, mara nitareview case mara sita review, jaji hasitaili kuwa nasifa kama hizo, wamezowea kuchapwa bakora ndo wafanye kazi, wanafikiri kesi zote watazi-treat kama wanavyo wafanyia poor tanzanians.

Mimi wameshanipa wasiwasi kwenye hii kesi pamoja na kesi nyingine za ufisadi, kwahiyo further investigation against MENGI na Invester lazima iangaliweupya, sio ku-brush out kuwa laumu Mabalozi ni Matatizo ya utendaji wetu
 
'SILVERDALE CASE'



CORRUPTION CONTINUES


The investors did not print, publish or write the article (the Daily News did so) and therefore could not be sued for Libel. Despite representations to the Chief Justice and Public Corruption Bureau (who agreed the proceedings were abusive) the Moshi Magistrates court allowed and heard the plaint and gave judgement to Mengi for TSH 90,000,000 ($90,000).

This stinks of corruption in the Moshi Magistrates court.

How do you sue people for something they did not write. And on top of that actually win. 😕

Astonishing is all i can say. The people in the Moshi Magistrates court who were involved in this case need to be investigated.
 
Huyu Benjamin Mengi na mkewe nadhani walitaka kuwazika hawa wazungu lakini mambo yakawashinda!! Kama alikashifiwa katika gazeti la daily news, nilitegemea basi hata hilo gazeti lingeshtakiwa lakini wapi wanang'ng'ania hao wazungu tu wawalipe milliono 90!!. Muungwana anasafiri kila leo kwenda kuwatafuta wawekezaji halafu hawa wajanja wanataka kuwazika; wamuulize Muzamil Alivyofanyiziwa huko China kwa mambo ya dhuluma dhuluma kama haya. Dhuluma ni kitu kibaya sana. Jinsi kesi hii ilivyoendeshwa ni dhahili mahakama ya hakimu mkazi hapo Moshi ni rushwa tupu.
 
Justice should be done..and seen to have done!!

Why is this taking so long!!!!
 
There is an element of corruption here if the case is on Favour of mengi why they don't want to review it again.Lets spade called spade and not spoon........

There is no justice in our Court and we afraid to said that, but that is for sure.No corruption you don't get justice, that is how it work in our Court.

The other things is most of our document is not legal enforcement because they a fake.
 
Kesi ni against Mengi, wakati hakimu ni Mangi, na kesi infanyika Umangini, ukiangalia history ya wa-mangi kweli mzungu atapewa haki hapo?

Mzungu ameliwa, bora wausishwe wanadiplomasia hapo ndo kesi labda itaenda sawa, ikishindikana, Uniletral decisions nikwamba Mengi apigwe BUN to enter Europ
 
Mazingira niliyoyaona katika maelezo yaliyopo hapo juu, shauri hili ni wazi linahutaji kupitiwa (reviewd).
Sioni sababu kwa mahakama kuu kutokufanya hivyo kwani itakuwa inajiondolea sifa na uhalali wake kiutendaji.
 
Hawa mabalozi kwenda kuzungumza na Jaji wetu mkuu ili awape upendeleo wanafikiria nini. Mahakama zetu za Juu hazichezewi namna hiyo. Next time wakome! Waache mchakato wa sheria uende vile vile kama ni pole pole au kwa haraka maana kesi zetu nyingine zinachukua miaka!

Tena washukuru sikujua kwa upande wangu kuna Balozi anajaribu kuinfluence the course of justice!

Halafu hao hao mabalozi mnawategemea wauze nchi yenu kwa wawekezaji wao? Au mkienda na vibakuli kubembeleza mnadhani hawatamuuliza balozi wao kuhusu hali ilivyo?

Pili, mojawapo ya kazi za balozi ni kuangalia kuwa hai inatendeka kwa raia wa nchi yake. Na hiki amekifanya. Hakutaka upendeleo bali haki ifanyike. Kumlaumu kwa kufanya hivyo si kumtendea haki. Si kila kitu anachofanya mtu mwenye jina la Mengi ni cha haki. Hapa inaelekea kuwa dhulma ilitaka kufanywa kwa hawa wageni ambao walituamini tulipowaambia waje wawekeze kwetu. Inabidi wakati mwingine tuone aibu. Huo uzalendo feki utatuumiza kama haujatuumiza tayari.

Amandla........
 
Taabu na Ukweli ni ufinyu wa ardhi huko Moshi!! Pamoja na hayo justice must be done!
 
Halafu hao hao mabalozi mnawategemea wauze nchi yenu kwa wawekezaji wao? Au mkienda na vibakuli kubembeleza mnadhani hawatamuuliza balozi wao kuhusu hali ilivyo?

Pili, mojawapo ya kazi za balozi ni kuangalia kuwa hai inatendeka kwa raia wa nchi yake. Na hiki amekifanya. Hakutaka upendeleo bali haki ifanyike. Kumlaumu kwa kufanya hivyo si kumtendea haki. Si kila kitu anachofanya mtu mwenye jina la Mengi ni cha haki. Hapa inaelekea kuwa dhulma ilitaka kufanywa kwa hawa wageni ambao walituamini tulipowaambia waje wawekeze kwetu. Inabidi wakati mwingine tuone aibu. Huo uzalendo feki utatuumiza kama haujatuumiza tayari.

Amandla........

Kaza buti mwanakwetu.... wacha uvivu... umezoea vya kunyonga ehe? Nani kakwambia nchi itajengwa na wawekezeji au kwa misaada? Ama kweli utumwa umekuathiri kwelikweli. Wazungu kwako ni Mungu!
 
Kaza buti mwanakwetu.... wacha uvivu... umezoea vya kunyonga ehe? Nani kakwambia nchi itajengwa na wawekezeji au kwa misaada? Ama kweli utumwa umekuathiri kwelikweli. Wazungu kwako ni Mungu!

Usijidanganye. Nchi gani haijajengwa na wawekezaji? Au kwako wewe mwekezaji ni mzungu tu? Na kwa vile unawachukia wazungu basi hata uwekezaji nao unaona mbaya! Mtumwa ni wewe unaeshindwa kufikiri nje ya box la victimhood. Nchi haitajengwa kwa slogans na platitudes. Tatizo si misaada au uwekezaji bali ni jinsi unavyoitumia na unavyoi-regulate. Kwenye hilo hatuna wa kumlaamu bali sisi wenyewe.

Amandla.............
 
This stinks of corruption in the Moshi Magistrates court.

How do you sue people for something they did not write. And on top of that actually win. 😕

Astonishing is all i can say. The people in the Moshi Magistrates court who were involved in this case need to be investigated.


Thank you but appreciate, this is a culmination of corruption at the highest level in Tanzania. Mengi is now in posession of Silverdale Farm and he is there as a result of the overt corruption highlighted in this case. The Chief justice of Tazania states there is no need to review this case and the Tanzanian High Commissioner to Tazania in London, has today, published a document for circulation in the U.K., stating the investors left the country not becase of corruption but becasue of this case and the judgment against them. The judgement and tis case is corrupt so what does that say of the government of Tanzania? Mengi, is untouchable in Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!! God help Tanzania.
 
MENGI TO ACCOUNT FOR 'SILVERDALE FARM'


26.05.2009 1132 EAT
Serikali yabariki mkataba kuvunjwa

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Na Nakajumo James,Moshi [/FONT]​

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]SERIKALI imebariki maamuzi ya vyama vitatu vya ushirika vya msingi Uswa Mamba, Shari na Kyeri wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kutaka kuvunja mkataba na kampuni ya uwekezaji ya Fiona (T) LTD. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Mrajisi Msaidizi wa vyama vya ushirika mkoani Kilimanjaro, Kasya Kasya, aliyasema hayo wakati akizungumzia mgogoro baina ya mwekezaji huyo na bodi ya vyama hivyo. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Alisema mkutano wa vyama hivyo chini ya mwenyekiti wake, Bashiri Shoo, uliofanyika Mei 11 mwaka huu ulikuwa na baraka zake, baada ya yeye kuwa na majukumu mengine ya kiofisi. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Katika mkutano huo wanachama zaidi ya 300 vyama hivyo vilimtaka wakili wao, Apolo Maruma kumuandikia notisi ya siku 30 mwekezaji huyo, Fiona (T) Ltd, awe amekabidhi shamba kwa vyama hivyo. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]"Wanachama ndiyo wenye uamuzi wa mwisho na mali yao ambayo ni mashamba waliyomkabidhi mwekezaji, hatua ya kutaka kuvunja mktaba mimi siipingi, ila wafuate taratibu,"alisema Kasya. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Aidha vyama hivyo viliazimia kutoutambua mkataba wa maridhiano na mwekezaji huyo ambao pamoja na mambo mengine unaeleza kumsamehe deni la Sh milioni 72. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Akizungumzia uamuzi wa vyama hivyo, Kasya alivitaka vyama hivyo kutumia utaratibu uliotumika kuingia mkataba huo ili kuweza kuuvunja kama walivyoazimia. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Alisema vyama hivyo vinamlalamikia mwekezaji huyo kwa madai kwamba baada ya kufanya vyema katika miaka ya 1999 hadi 2003 kwa kuendeleza zao la kahawa, baada ya hapo alianza kung'oa kahawa na miti na kuotesha Mahindi na Maharage. [/FONT]


[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kwa upande wake, mwekezaji huyo, Benjamin Mengi, alipohojiwa kuhusu hali hiyo alishikilia msimamo wake kwamba hatambui maamuzi ya mkutano huo.[/FONT]


'SILVERDALE CASE'


CORRUPTION CONTINUES

In early 2006, Benjamin Mengi sued British investors Stewart Middleton and Sarah Hermitage for statements printed by the Daily News in June 2006 (see article below).

The investors did not print, publish or write the article (the Daily News did so) and therefore could not be sued for Libel. Despite representations to the Chief Justice and Public Corruption Bureau (who agreed the proceedings were abusive) the Moshi Magistrates court allowed and heard the plaint and gave judgement to Mengi for TSH 90,000,000 ($90,000). Following this and despite further representations from the British Government, the courts ordered seizure of the investors property in October 2007 on the basis of the court ruling. The couple's lawyer appealed the ruling and was summoned by the Moshi High Court (appeals division) to attend court on 27th February 2009 for a mention of the case. On appearance, the court stated that the appeal had been struck out two weeks earlier. The lawyer immediately filed an application to set the order aside and was told this week that the application could now not proceed as the court had ‘lost the file'.

Benjamin Mengi initiated the litigation against the investors in what is now widely known as the 'Silverdale Case'. In May 2004 Benjamin and Millie Mengi, through their company Fiona Tanzania Ltd sold the lease to Silverdale & Mbono Farms (Hai District) to the investors company, Silverdale Tanzania Ltd and one year later, after negotiating to sell the lease a second time to British Investor Konrad Legg (Tudeley Estates) demanded the lease back. The litigation followed the investor's refusal to do so together with fourteen other cases the investors describe as vexatious having no legal basis.

Tanzania's most senior law officer Chief Justice Augustino Ramdhani, assured the British government in 2007, that he would review the cases against the investors and particularly that the above appeal would be heard. Having held up the cases in court for over eighteen months, the Chief Justice stated in January 2009 that he had changed his mind and would now not review the cases. He gave no reason for changing his mind. However, after continuous dialogue with former British High Commissioner to Tanzania Philip Parham, on the above appeal, he gave his assurances that the appeal would be heard.

The case was struck our three weeks after Mr. Parham left Tanzania.

Former British High Commissioner to Tanzania, Andrew Pocock describes the 'Silverdale Case' as a continuing outrage and in February 2008, the British Foreign and Commonwealth office in London, issued a statement to the BBC, that it had '..credible evidence of harassment and intimidation against the investors'. Despite several assurances to the British government from President Kikwete, that the ‘Silverdale Case' would be fairly resolved, it remains very much unresolved and, set to undermine Tanzania's commitment to the rule of law for the foreseeable future.

Attached Files
doc.gif
Demand Letter.doc (74.0 KB, 7 views)
doc.gif
Plaint.doc (216.0 KB, 8 views)
doc.gif
PCB Complaint.doc (50.5 KB, 10 views)
 
mmmh ....hii imekaa vibaya
sioni sababu ya jaji kusema ata review kesi kisha akasema ha review tena, unless muandishi wa habari hii kabania some facts.
 
Back
Top Bottom