Vyama vya Wachimbaji madini wadogo

Vyama vya Wachimbaji madini wadogo

kilio changu

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
408
Reaction score
216
Ndugu zangu Watanzania

Naomba msaada wa kujua vyama vya wachimbaji madini wadogo wadogo (Association of small scale mines), hata kama hujui vyama vyao ila kama kuna eneo lenye wachimbaji wadogo naomba unisaidie jina la eneo na kama unajua aina ya madini wanayochimba huko
Kuna mpando wa kuona changamoto zao na jinsi ambavyo wanaweza kuwezeshwa, hivyo mwenye kufahamu lolote juu ya hili naomba aandike hapa.

Wako katika ujenzi wa Taifa.

Kilio Changu kwa Tanzania.
 
DHAHABU:Londoni-Singida,Sumbaru Singida,Mgusu-Geita,SHABA:ILAGALA- KIGOMA; MBESA-TUNDURU; IBAGA-SINGIDA

Sumbaru na Londoni kuna watu wengi weny viwanja (Prospecting licences) ila tu wamekosa wabia wa kufanya nao kazi na eneo hilo lina dhahabu grade nzuri...in case of anything ni-pm
 
Habari wanajamii,

Kama kuna mtu yoyote anahitaji ushauri kuhusu processing ya madini ya Dhahabu na Shaba tu,anaweza kuwasiliana na mimi mana kuna kampuni ya vijana yenye uzoefu na mambo ya madini hayo na pia kama kuna mtu anataka kuanzisha Plant yake kwa ajili ya kuprocess tails kwa kutumia Cyanide na anahitaji ushauri au Engineer wa kumtumia katika kusajili Plant yake,unaweza kuni pm na tutakusaidia katika kila jambo.

Wenu

Joel
 
Gud idea. jaman hii biashara unawezaanza na mtaj wa kias gan?
 
kaka ni more than 10Million with usimamiz wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom