Fursa Pesa JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 4,631 Reaction score 3,527 Jun 4, 2012 #1 Vyama vya mahala wanakotoka wanafunzi wa elimu ya juu vinachochea ukabila na ukanda au ni chachu ya maendeleo katika maeneo watokako?
Vyama vya mahala wanakotoka wanafunzi wa elimu ya juu vinachochea ukabila na ukanda au ni chachu ya maendeleo katika maeneo watokako?
K Kimbori JF-Expert Member Joined Feb 21, 2012 Posts 6,112 Reaction score 4,540 Jun 4, 2012 #2 Nawasubiri waliojiunga. Mimi sioni sabau ya kujiunga, kama ningekuwa nje ya Tanzania ningejiunga