johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hadi sasa Sijaona Salamu za rambirambi kutoka chama chochote cha Siasa nchini kufuatilia Kifo Cha Kiongozi mkuu wa Chama Cha Hamas Ismael Haniyeh
Ndio kusema Hamas hawanaga Chama rafiki hapa nchini?
PIA SOMA
- Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran
Ndio kusema Hamas hawanaga Chama rafiki hapa nchini?
PIA SOMA
- Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran