Habari JF ,Ukiachana na Suala la Udiwani na Ubunge wa viti maalumu bado kuna vyeo vingi sana ambavyo kuna haja ya kuvipitia na kuona kama kuna umuhimu kuendelea kuwepo.
Mfano Wilaya inawakilishwa na watu wafuatao
1. DC
2. DED
3. DAS
4. MP
Lakini pia kuna nafasi za unaibu waziri ,mi nadhani waziri na Katibu wanatosha .
Hivi hakuna namna ya kupunguza watu kwa kuongeza majukumu katika nafasi nyingine ? Itasaidia kupunguza Matumizi .
Mfano Wilaya inawakilishwa na watu wafuatao
1. DC
2. DED
3. DAS
4. MP
Lakini pia kuna nafasi za unaibu waziri ,mi nadhani waziri na Katibu wanatosha .
Hivi hakuna namna ya kupunguza watu kwa kuongeza majukumu katika nafasi nyingine ? Itasaidia kupunguza Matumizi .