Vyeo visitusahaulishe, tukumbuke wote ni wanadamu

Vyeo visitusahaulishe, tukumbuke wote ni wanadamu

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Hii kitu ni mbaya sana unakuta mtu anajiona sio binadamu wa kawaida.

Ni kweli umepambana kufika hapo ila jitahidi kuheshimu watu wote awe kapuku, Awe tajiri, Awe asiye na elimu, Awe na elimu, (heshima, heshima, heshima).

Kuweza kupata chochote kwa mda utakao hakukufanyi usiwe binadamu wa kawaida.

Kama kuna mwenye tabia kama hiyo ni vyema akabadilika. Tuifanye dunia iwe sahihi kwa kila mtu kuishi.

Asanteni.
 
💯

giphy.gif
 
Kiburi humsongelea karibu sana aliyefanikiwa kwa ngazi yeyote ile, ukizubaa kidogo unakikuta ndani yako.
 
Si mpaka watu wakubali , kila mtu anajiona yuko juu ..Leo ukifa hata kama ulikuwa na maisha mazuri hauna thamani tena na watu watakusahau .

Mzunguko wa maisha ni kujihangaishi ili siku zako zifike ufe tu , pambana kwa level yako wala haina haja ya kuwa bora dhidi ya mwingine ...

Huko Mbeya kuna kijana mwingine kajinyo , just assume mtoto wa miaka 26 ana watoto 3 , mimi kaka yake sina hata mmoja naweka maisha sawa. 😀 😀 Wiki iliyopita alijinyonga mmoja naye ni dereve bajaji
 
Kiburi humsongelea karibu sana aliyefanikiwa kwa ngazi yeyote ile, ukizubaa kidogo unakikuta ndani yako.
Wako pia viongozi wanaolizwa na watu wa chini yao. Kiongozi ananyanyaswa na anayeongozwa.

Sijui naye akaseme wapi?
 
Si mpaka watu wakubali , kila mtu anajiona yuko juu ..Leo ukifa hata kama ulikuwa na maisha mazuri hauna thamani tena na watu watakusahau .

Mzunguko wa maisha ni kujihangaishi ili siku zako zifike ufe tu , pambana kwa level yako wala haina haja ya kuwa bora dhidi ya mwingine ...

Huko Mbeya kuna kijana mwingine kajinyo , just assume mtoto wa miaka 26 ana watoto 3 , mimi kaka yake sina hata mmoja naweka maisha sawa. 😀 😀 Wiki iliyopita alijinyonga mmoja naye ni dereve bajaji
Vijana wanapitia mambo mengi.

Labda aliwaza sana madeni, stress za familia, hali ngumu ya maisha akaona suluhisho ni kujinyonga.
 
Kiburi humsongelea karibu sana aliyefanikiwa kwa ngazi yeyote ile, ukizubaa kidogo unakikuta ndani yako.
Sijui ni nature.. Maana asilimia kubwa ya wenye vyeo wana-jirank tofauti na wanadamu wenzao.
 
Kabisa aisee, ila watakuelewa sasa ila ni kuwapuuza tu kuna Afisa Utumishi wangu mmama aliwahi kuniambia hee leo umevaa viatu kama vyetu (Yeye na Afisa Mipango) nilibaki nacheka tuu
 
Back
Top Bottom