Mimi nina Baba mkwe alifariki lakini vyeti vyake mtoto wake alivichukua vipo kwangu nikiangalia hayo ma-degree,masters unajiuliza kulala unasoma miguu kwenye ndoo ya maji basi unasema ahera utaenda ulivyo!!saa nyingine nasema nahitaji kuwa na uhelewa wakawaida na pesa ya kawaida utajiri sitaki its nothing when comes to the death!