Andamaneni..! Ungesoma kwenye vyuo vyetu (Tumaini na KIU) cheti chako unapata siku ya graduation. Hiyo ndo international standards. Tatizoi la hivyo vyuo vyenu haviendani na matakwa ya soko la ajira. Utumishi wakitangaza kazi hata sasa
watasema ASIYE NA CHETI ASIOMBE.
Utashangaa mhitimu wa KIU analamba kazi
wewe wa UD unasugua benchi, ingawa wote
mmemaliza mwaka mmoja. Nikiendelea
kuandika ntakupa machungu bure, ila ukweli ni
kwamba mnahitaji kuandamana. Mkiwa wawili tu, mkaita na media mmebeba na mabang
hayo ni maandamano tosha.