Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Tayari vilishatoka. Huwa ni ndani ya miaka 2 vikichelewa saaaaana, yaani saaaana.
habari zenu...
naomba kuuliza. hivi vyeti vya kidato cha nne huwa vinatoka lini baada ya mtihani. kuna mdogo wangu alimaliza mwaka 2008 je sasa anaweza kupata cheti??