Vyeti vyangu vimepotea, nawezaje kupata vingine vipya?

tare

Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
96
Reaction score
39
Samahan wanajf mm jana wakati nipo safar kuelekea chuon nimeibiwa begi ambalo lilikuwa na vyeti vyote yaan academic certificates form four na form six pamoja na birth certificate HV kuna uwezekano wa kuvipata hvyo vyeti may be kurenew? Make I'm so stressed naomba msaada wenu
 
Pole, next time unaposafiri na confidential documents kama hizo hakikisha unaweka kwa hand bag na unakaa nalo karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…