Vyombo vya habari tumeachana na Msiba wa Kariakoo tunaposti habari za Mkuu wa Mkoa; utu umezimwa na pesa

Vyombo vya habari tumeachana na Msiba wa Kariakoo tunaposti habari za Mkuu wa Mkoa; utu umezimwa na pesa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Leo vyombo vyote vya habari vipo busy kupost clip za RC Arusha akieleza miezi sita ya uongozi wake.

Vyombo vyote vimeachana na vifo na majanga ya ndugu zetu huko Kariakoo......kwamba kuanguka kwa ghorofa siyo habari bali miezi sita ya kisiasa ni habari.

Tunaweza tusione tatizo kama Taifa ila nchi zilizostaarabika ikitoka janga shughuli zote za serikali zinabadili muundo na key message inakuwa maombolezo.

Viongozi jitahidini japo kidogo kuvaa viatu vya wale waliopo ardhini na wale wanaosubiri hatima ya ndugu zao.

Hadi sasa hakuna hata salamu za pole kutoka kwa wizara, mikoa na wilaya. Akaunti zao za mitandao ya jamii hata DAR Tu hakuna ujumbe wa kutia moyo manusura.

Tuombeane kama Taifa.
 
TUNGEWEZA KUTUMIA HATA NJIA YA ASILI YA UOKOAJI.

TUNGEPANGA MISTARI KUMI,
WENGINE WANAJAZA UDONGO KWENYE NDOO.
WENGINE KWENYE FOLENI TUNAJAZA MALOLI 200 MENDE.

NDANI YA MASAA KUMI KUSINGEKUWA NA KIFUSI. WATU WOTE WALIOFUKIWA WANGEOKOLEWA.

SELIKALI INASHINDWA KUNUNUA MITAMBO YA UOKOZI.

NI LAANA KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KUENDELEA KUISHI TANZANIA.
 
Leo vyombo vyote vya habari vipo busy kupost clip za RC Arusha akieleza miezi sita ya uongozi wake.

Vyombo vyote vimeachana na vifo na majanga ya ndugu zetu huko Kariakoo......kwamba kuanguka kwa ghorofa siyo habari bali miezi sita ya kisiasa ni habari.

Tunaweza tusione tatizo kama Taifa ila nchi zilizostaarabika ikitoka janga shughuli zote za serikali zinabadili muundo na key message inakuwa maombolezo.

Viongozi jitahidini japo kidogo kuvaa viatu vya wale waliopo ardhini na wale wanaosubiri hatima ya ndugu zao.

Hadi sasa hakuna hata salamu za pole kutoka kwa wizara, mikoa na wilaya. Akaunti zao za mitandao ya jamii hata DAR Tu hakuna ujumbe wa kutia moyo manusura.

Tuombeane kama Taifa.
Ccm ni janga la taifa hili
 
Daaah huo uzalendo tunao sasa!!!? Kila mtu kawaachia serikali
 
Kwenda live na vyombo vyote vya habari, kulipa posho waandishi na wageni wengine, naona kama million 500 imetoka
 
Wanatuhamisha kwenye mjadala wa janga

Uchaguzi serikali za mitaa

Na Samia kwenda Brazil na kuacha janga nchini

Clouds ni radio yao hiyo Wala isiwasumbue

Hata ukiwasikiliza toka Jana wapo wanapiga nyimbo za ngono wakati Taifa lipo kwenye majanga

Wanakwepesha watu kuwajibika

Tanzania yangu !!!
 
Makonda ni attention seeker hana lolote
 
Leo vyombo vyote vya habari vipo busy kupost clip za RC Arusha akieleza miezi sita ya uongozi wake.

Vyombo vyote vimeachana na vifo na majanga ya ndugu zetu huko Kariakoo......kwamba kuanguka kwa ghorofa siyo habari bali miezi sita ya kisiasa ni habari.

Tunaweza tusione tatizo kama Taifa ila nchi zilizostaarabika ikitoka janga shughuli zote za serikali zinabadili muundo na key message inakuwa maombolezo.

Viongozi jitahidini japo kidogo kuvaa viatu vya wale waliopo ardhini na wale wanaosubiri hatima ya ndugu zao.

Hadi sasa hakuna hata salamu za pole kutoka kwa wizara, mikoa na wilaya. Akaunti zao za mitandao ya jamii hata DAR Tu hakuna ujumbe wa kutia moyo manusura.

Tuombeane kama Taifa.
Hata ukipost wewe jinga inatosha!
 
Back
Top Bottom