Mkuu wangu bado inawezekana kabisa, wazo kama hili lifikishe kwa kina Invisible ambao wanaweza kuongea na vyombo vya habari kisha mkwasaidia jinsi ya kuunda mjadala huu upate kufanana na hiyo ya Marekani au hata Hard Talk ya UK..
Kuna jamaa wengine wapo ktk vituo vya nje iwe BBC swahili au VOA wanaweza kusaidia sana mchango ktk kukamilisha kipindi hiki.
Mtu kama Mengi anaweza kukubali haswa mkianza na yeye kuhoji maisha yake, mikasa yake, Ufisadi, mbinu chafu dhidi yake na mengineyo ili mradi apate muda na nafasi ya kujisafisha.