Vyombo vya ulinzi na usalama mko wapi katika hili?

Kilichokufanya ujipeleke huko ni nn? Umejitakia mwenyewe kwa hyo huyo bwana yuko sahihi na ikumbukwe kua watanzania wengi tunapenda short cut
 
Wakuu hili jambo ni zito, yupo pia Uvccm huko. Simiyu Yetu, Zemarcopolo, Mwanadiwani, Lizaboni, Ritz1 et al njooni mwenzenu huyo.

Taifa la matapeli na yanalindwa kwa hali yoyote na mfumo
 
Wakuu hili jambo ni zito, yupo pia Uvccm huko. Simiyu Yetu, Zemarcopolo, Mwanadiwani, Lizaboni, Ritz1 et al njooni mwenzenu huyo.

Taifa la matapeli na yanalindwa kwa hali yoyote na mfumo

CCM chama cha matapeli na wabakaji kinawalinda watu wake kwa kila namna,ni aibu kwa mtu kulitumia jina la chama kutapeli watu halafu hachukuliwi hatua yoyote ile.
 
Kilichokufanya ujipeleke huko ni nn? Umejitakia mwenyewe kwa hyo huyo bwana yuko sahihi na ikumbukwe kua watanzania wengi tunapenda short cut

We nawe ndio walewale usije kuta ndio wewe Muhusika Mkuu(MM) ulietajwa kwenye huu uzi na ndio maana unatetea utapeli.
 
Unataka kusaidiwa husemi Airwing ya wapi!! zipo nyingi au taarifa hii nayo umetapeliwa?

kwani kwa tanzania mtu akisema Airwing kila mtu anajua ni dar licha ya kua ziko nyingi au mi ndivyo nilivyo muelewa mtoa mada.
 
Mkuu RB zipo zaidi ya kumi katika vituo mbalimbali nchini, unataka ngapi zibandikwe humu?

Za kutosha kuhalalisha heading yako kuwa wananchi mmefanya juhudi zenu ila zinakwamishwa na vyombo vya ulinzi na usalama
 
huyu jamaa mimi akitaka eti kunitafutia kazi kama Afisa Tawala chuo cha Veta akaniambia nimpe laki nne kwa bahati nzuri nikamwambia mpaka nipate kwanza ndipo apewe dah! namshukuru mungu nipata kazi bila kutapeliwa kumbe huyu jamaa ni tapeli Sugu dah! Jf ni kila kitu hapa .
 
Hakafu anafanya kazi jeshini huu ni Uhuni Kesho namuibukia dadeki
 

Kama ulishafahamu kuwa kwa sasa anapatikana wapi, mbona hujaeleza kama uliwahi kuwasiliana na viongozi wake?? au ulishapeleka summons?? zaidi kinachoonekana hapa ni nia yako ya kumchafua huyo jamaa katika media, na kwa vile labda naye hana fursa ya kukujibu humu. Au labda wewe ndiye mkewe ambaye amekukimbia na ameoa mwanamke mwingine sasa povu linakutoka!! Tuache tujadili mambo mazito yanayolikumba taifa kwa sasa, unless utueleze kuwa naye ni mtu mkubwa sana asiyewezekana kama mgao wa umeme.
 

Acha ungese nani mwanamke hapa? Labda wewe ni mwanamke wa pili.
 

Unaona sasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…