bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,149
- 3,209
Kutoka na hali ya ulipuaji mabomu katika jiji la Arusha unaoendelea wakati huu wa ujio mkubwa wa watalii nilazima serikali iimarishe ulinzi kwenye maeneo yafuatayo.
Hotel zote za kitalii.
masoko makubwa ya vinyago na bidha za asili.
kumbi zote za starehe.
Migahawa yote ya kitalii.
maeneo yote yenye makumbusho.
Mwisho sehemu zote zenye mkusanyiko mkubwa wa watalii.
serikali isipochukua hatua sasa ya kuimarisha ulinzi kwenye maeneo hayo itakuja kujibu kwa yatakayotokea baadae.
Hotel zote za kitalii.
masoko makubwa ya vinyago na bidha za asili.
kumbi zote za starehe.
Migahawa yote ya kitalii.
maeneo yote yenye makumbusho.
Mwisho sehemu zote zenye mkusanyiko mkubwa wa watalii.
serikali isipochukua hatua sasa ya kuimarisha ulinzi kwenye maeneo hayo itakuja kujibu kwa yatakayotokea baadae.