Vyoo havinuki ila wasukuma wananuka, vyoo ni vizuri kwenye jamii mbovu isiyojua jinsi ya kutumia vyoo kiasi kwamba hata nzi huwa wanawacheka wasukuma.Wakuu habarini za muda huu nipo zangu natoka Mwanza kuelekea sengerema nmepanda hii MV Mwanza kwakweli usafi wa vyoo sio mzuri hata kidogo na cha ajabu hivi vyoo
naona vipo pembeni na canteen yao hapa juu.Sijui ni kwa namna gani hawa wapishi wanapata hata nguvu za kupika na kuwahudumiwa wateja wake kwenye eneo ambalo choo zinanuka kiasi hichi.Hili jambo inabidi walifanyie kazi kwakweli.
Meli zote humwaga uchafu ziwani au bahariniSamahani kwanza mkuu hivyo vyoo vya mv mwanza vinamwaga mavi wapi!!? Isije ikawa tunakula mavi
Ukiwasema vibaya na kuwabagua wasukuma unagain jambo gani jipya la faida maishani mwako???????Vyoo havinuki ila wasukuma wananuka, vyoo ni vizuri kwenye jamii mbovu isiyojua jinsi ya kutumia vyoo kiasi kwamba hata nzi huwa wanawacheka wasukuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa sato na sangala wale nn? Ndo hayo mavi bwasheeeeSamahani kwanza mkuu hivyo vyoo vya mv mwanza vinamwaga mavi wapi!!? Isije ikawa tunakula mavi
Nawajua sana na kila msukuma ni mganga wa kienyeji na anafuga fisi wawili.Ukiwasema vibaya na kuwabagua wasukuma unagain jambo gani jipya la faida maishani mwako???????