Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna chef mmoja yuko Marry Brown M City nitamuuliza kama ana maujuzi
then nitakwambia
kama ndio hivi basi najua. ila kama unatumia kuku wa kienyeji inabidi uwachemshe kwanza ndipo uwakaange. Mie kuku wa kizungu shida sana kuwala.Watakuwa ndo wanapikwa hivi, unawaweka viungo wakiwa wabichi vile. Unapiga yai kwenye bakuli, unachovya kipande kwenye mayai kiloe then unakigeuza geuza kwenye unga wa ngano ulioutawanya kwenye sahani pana au sinia kinanata unga vizuri na kwa cheupe ndipo unakaanga kwenye mafuta kama andazi vile knaiva na kuwa na brownish.
style hii inatumika sana kwa kuku wa kizungu kwa sababu walaini, kitu kingine ni kwamba kwasababu huwa hawana utamu kivile kama wa kienyeji ndo mana wakabuniwa mapishi.ya hivi kuboresha ladha.kama ndio hivi basi najua. ila kama unatumia kuku wa kienyeji inabidi uwachemshe kwanza ndipo uwakaange. Mie kuku wa kizungu shida sana kuwala.
ni kweli lakini hao kuku wa kukua wiki mbili aaah! taabu kwelikweli.style hii inatumika sana kwa kuku wa kizungu kwa sababu walaini, kitu kingine ni kwamba kwasababu huwa hawana utamu kivile kama wa kienyeji ndo mana wakabuniwa mapishi.ya hivi kuboresha ladha.
Jamani nimekuwa mtumwa wa vyuku(kuku) vya kwenye mgahawa wa Marrybown,kwa anyejua jinsi vinavyotayarishwa kwani nataka niwe najitengenezea mwenyewe badala ya kutoa book 11 na nusu kila nikivimind