Vyuma vimekaza: Wasanii wa bongo hawaendi tena Dubai kufanya shopping

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Sasahivi tunabanana hapa hapa, siamini kama nawewe (Sepetunga) sikuhizi unafanyia shopping kariakoo. Ahsante Mr President.
 
sasa hilo nalo nilakushukuru, watu kutosafiri ndio maendeleo??? watu kutokwenda kufanya shopping dubai au south africa ndio maendeleo?? kweli Watanzania tumerogwa..
 
Akienda kariakoo mama madenge anapata pesa anlipia mwanae ada,,sasa huko dubai ndio inakuwaje,,,maisha yana mifumo mingi huu nao ni mmoja wapo,,acha tubanane hapa hapa(kuomba punguzo)
 
Akienda kariakoo mama madenge anapata pesa anlipia mwanae ada,,sasa huko dubai ndio inakuwaje,,,maisha yana mifumo mingi huu nao ni mmoja wapo,,acha tubanane hapa hapa(kuomba punguzo)
[emoji23] [emoji23]
 
lkn kale kavita ka sembe kalikuwa na effect...tangu kaanze wasanii kwenda dubai na china imepungua...napata mashaka kalikuwa na ukweli fulani ndani yakeπŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•
 
Hata chakula tumekuwa tukila nao kwene vibanda umiza chakula cha buku jero tena anatoa buku jero anadaiwa, anaomba apewe na chapati kama ilibaki asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…