Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Sukuhizi [emoji481] unakunywa mwisho wa mwezi ukipokea tu mshahara. Ukisahau kunywa siku hiyo hunywi tena mpaka next pay day.
Siku hizi tunakunywa maji tu, soda unajifikira kwanza kabla hujainunua. Ugali mchicha maharage, wali kabichi, dagaa ugali maharage ndiyo menu maarufu mjini.
Matatizo ya kisukari na mapigo ya moyo kwenda kasi yamepungua kwa wengi.
Sikuhizi hufanywa mazoezi kwa kupenda, unatembea kusikia sh500 ikufae kesho.
Shikamoo Magufuli.
Siku hizi tunakunywa maji tu, soda unajifikira kwanza kabla hujainunua. Ugali mchicha maharage, wali kabichi, dagaa ugali maharage ndiyo menu maarufu mjini.
Matatizo ya kisukari na mapigo ya moyo kwenda kasi yamepungua kwa wengi.
Sikuhizi hufanywa mazoezi kwa kupenda, unatembea kusikia sh500 ikufae kesho.
Shikamoo Magufuli.