Jiwe akisoma hili bandiko atafurahi sana[emoji23][emoji23]Jamaangu anamiliki gari la kunyonya vyoo amenilalamikia watu hawanyi.i kabisa awamu hii kiasi kwamba kwa Siku zamani anapiga trip 7 hadi kumi sasahivi hata 3 hapati,hali mbaya sana
Hahah noma nomaJamaangu anamiliki gari la kunyonya vyoo amenilalamikia watu hawanyi.i kabisa awamu hii kiasi kwamba kwa Siku zamani anapiga trip 7 hadi kumi sasahivi hata 3 hapati,hali mbaya sana
πππJamaangu anamiliki gari la kunyonya vyoo amenilalamikia watu hawanyi.i kabisa awamu hii kiasi kwamba kwa Siku zamani anapiga trip 7 hadi kumi sasahivi hata 3 hapati,hali mbaya sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi huwa najitahidi kwa wiki niende chooni mara Mbili Jumatano na Jumapili.