Vyuma vinazidi kukaza ,utapeli nao unazidi (Tukutane tuliopokea sms kama hizi)

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
43,973
Reaction score
150,463
Vyuma kuzidi kukaza na kukazana ndo watu wanazidi kuumiza vichwa ili kuwaingiza mkenge watu wengine japo wengi tushakuwa makini make huu mwaka kila mtu anatafuta wa kumalizana nae kama mimi jamaa alivyotaka kumaliza na mm mwaka vizuri ....

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..

Mwenye namba hiyo ndo msambazaji
 
Hiyo namba inayoonekana kwenye screenshot juu ni yako?
 
Reactions: Lee
Na mimi nimesha tumiwa ujumbe kama huu mara mbili kwenye number zangu mbili tofauti, na number inayotumika ni hiyo hiyo..,
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…