Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Wazo zuri sana.Vikaze vilegee shauri yenu sie tunata miradi ya Chato ikamilike tena kwa wakati kuna stendi, hosptal ya kanda bado kuna baadhi ya majengo hayajakamilika,
Ujenzi wa vyuo vikuu UDSM na MUHAS matawi ya Chato ndo kwanza yalikuwa kwenye mchakato
Na tupewe mkoa haraka iwezekanavyo
Inaweza chukua miaka miwili njia nzuri ni kuachana na sera ambazo hazina muelekeo za majukwaani huwezi kupanga kukua kwa biashara kwa sera zisizo na muelekeo 'policy uncertainty'Pamoja na machinga kusema kuwa hayati JPM alikuwa mkombozi wao maana hakupenda waonewe. Lakini ukweli ni kuwa wana hali mbaya sana kibiashara.
Mama lishe nao wapo hoi bin taabani, wanauza kwa kwa kuchechemea maana pasi ndefu ndio mtindo uliopo sasa. Biashara nyingi zimefungwa hasa masupamarket. Na biashara za nguo nyingi zipo hoi.
Sasa kama vyuma vilikuwa vimekaza mitano iliyopita Mama Samia anaweza kulegeza? Maana zipo njia za kitalaamu kiwaonea huruma wananchi angalau nao hii mitano wasilalamike sana. Moja ya njia za kitalaamu ni kupunguza kodi na misamaha ya kodi huku akiangalia mapato mengine mbadala kuliko kuwaumiza mama lishe na wamachinga.
Miaka miwili vyuma kulegea?Inaweza chukua miaka miwili njia nzuri ni kuachana na sera ambazo hazina muelekeo za majukwaani huwezi kupanga kukua kwa biashara kwa sera zisizo na muelekeo 'policy uncertainty'
Mbona unakatisha umma tamaa?Itachukua zaidi ya miaka 10 kuvilegeza. Aliyevikaza alivikaza haswa! Na alikokuwa anaelekea, ni Mungu tu ndiye ajuaye.