House4Rent Vyumba kupanga kwa wanafunzi!

kalooo son of Kambarage

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
275
Reaction score
181
Kuna chumba cha kinapangishwa maeneo ya makongo karibu na chuo cha Ardhi,kizuri kwa wanafunzi wa vyuo

Kodi ya mwezi ni kama 50,000/= tu hakina udalali kwa wanafunzi wa vyuo kama Ardhi,Udsm,Ubungo na maeneo mengine ya karibu karibuni.

 
Pinga rangi na ufanye marekebisho kidogo kwanza ili itoke kwenye muonekano wa stoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…