kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Iko chumba au stoo?umeme nyuma ya kichwa ful shot🤣🤣Kuna chumba cha kinapangishwa maeneo ya makongo karibu na chuo cha Ardhi,kizuri kwa wanafunzi wa vyuo
Kodi ya mwezi ni kama 50,000/= tu hakina udalali kwa wanafunzi wa vyuo kama Ardhi,Udsm,Ubungo na maeneo mengine ya karibu karibuni.View attachment 1960227View attachment 1960228
Asee mm nlipangishwa chumba huko switch ya kuwasha taa ilikuwa nje.. Mama mwenye nyumba anakuja kuzima taa saa 4 chumba 35k tuIko chumba au stoo?umeme nyuma ya kichwa ful shot[emoji1787][emoji1787]
Asee mm nlipangishwa chumba huko switch ya kuwasha taa ilikuwa nje.. Mama mwenye nyumba anakuja kuzima taa saa 4 chumba 35k tu
Wapi huko Kaka.Asee mm nlipangishwa chumba huko switch ya kuwasha taa ilikuwa nje.. Mama mwenye nyumba anakuja kuzima taa saa 4 chumba 35k tu
Huko huko makongo juuWapi huko Kaka.
Umenipa wazo zuri sana.
Asante,
Switch nje ndio dili