House4Sale Vyumba vya kupangisha Kawe Ukwamani

House4Sale Vyumba vya kupangisha Kawe Ukwamani

becknature

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
665
Reaction score
825
Habari wakuu, kuna vyumba vipo viwili na vyote ni double, vipo Kawe Ukwamani, ni kama mita 40 kutoka stand ya Ukwamani, kila chumba 50,000 Tshs, kwa viwili inakua 100,000 Tsh kodi ni miezi sita.

Ukihitaji kuja kuviangalia, piga: 0679851483 au 0754984819.

IMG_20200304_090539.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...................Mleta mada nakushauri kama wewe ni dalali washauri hao wenye nyumba huko mitaani kufanya mambo kikisasa,huwezi mpangisha mtu room kwa 50K halafu haina tiles hata kama ana shida ataingia akikaa kidogo shida zikimuisha ataondoka kutafuta chumba chenye mandhari nzuri.

Pia tiles zinapendezesha chumba haraka sana utapata mteja siyo kama kinavyoonekana.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
...................Mleta mada nakushauri kama wewe ni dalali washauri hao wenye nyumba huko mitaani kufanya mambo kikisasa,huwezi mpangisha mtu room kwa 50K halafu haina tiles hata kama ana shida ataingia akikaa kidogo shida zikimuisha ataondoka kutafuta chumba chenye mandhari nzuri.

Pia tiles zinapendezesha chumba haraka sana utapata mteja siyo kama kinavyoonekana.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ah okay, ila mimi sio dalali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom