Vyumba, vyumba , vyumba vya kupanga magomeni

Vyumba, vyumba , vyumba vya kupanga magomeni

kideko

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
296
Reaction score
217
Kwa wanao itaji vyumba magomeni vinapatikana. Vinasifa hifuatayo.
Chumba na sebule, chumba ni self container. Maji Massa 24/7, gipsum, ukubwa 12 ×12. Kwa mawasiliano nicheki.
0625511737.
 
Kwa wanao itaji vyumba magomeni vinapatikana. Vinasifa hifuatayo.
Chumba na sebule, chumba ni self container. Maji Massa 24/7, gipsum, ukubwa 12 ×12. Kwa mawasiliano nicheki.
0625511737.
weka bei kabisa maswala ya kupigiana simu ni ya kizamani
 
Kuishi magomeni hapana..................................... kwa kweli Magomeni..................?? Baada ya kazi ngumu za kutwa nzima na kisirini cha kufokewa na boss unahitaji mahali tulivu pa kukaa na VIP wa kukusugua sasa huko honi hewa malori clubs dada/kaka poa hapana ngoja waje wapenda vya magomeni................. nakitu ingine nimekumbuka nyumba ni mpya au? bado ni zile paa lake liko hapo u
 
Kuna watu wanakaa Magomeni, Sinza na Kijitonyama lakini ukimwuliza, anakaa wapi nakwambia Bunju, Boko au Mbweni sijui kwa nini wanaficha maeneo wanayokaa !!!
 
Kwa wanao itaji vyumba magomeni vinapatikana. Vinasifa hifuatayo.
Chumba na sebule, chumba ni self container. Maji Massa 24/7, gipsum, ukubwa 12 ×12. Kwa mawasiliano nicheki.
0625511737.
weka picha mkuu au sifa za nyumba ukiachilia maji, umeme
 
Hizi ni dalili tosha za Anko Magu,,
Leo mnaleta nyodo hadi migo,,,!!!!!
Kweli sasa tanzania mpya naanza kuiona[emoji3]
Zama zile gongo la mboto mlikua mnapalilia hasa[emoji3]
 
Kuishi magomeni hapana..................................... kwa kweli Magomeni..................?? Baada ya kazi ngumu za kutwa nzima na kisirini cha kufokewa na boss unahitaji mahali tulivu pa kukaa na VIP wa kukusugua sasa huko honi hewa malori clubs dada/kaka poa hapana ngoja waje wapenda vya magomeni................. nakitu ingine nimekumbuka nyumba ni mpya au? bado ni zile paa lake liko hapo u
Sasa hivi unaishi wapi? Oysterbay?
 
Kwa wanao itaji vyumba magomeni vinapatikana. Vinasifa hifuatayo.
Chumba na sebule, chumba ni self container. Maji Massa 24/7, gipsum, ukubwa 12 ×12. Kwa mawasiliano nicheki.
0625511737.
Chumba cha 80k kinakuaje?
 
Back
Top Bottom