Vyuo vikuu mnatia aibu kwani mnaonyesha mlivyo mbumbumbu kwa hili


Wewe kitaje tu kuwa ni Muslim University- Morogoro.
UDSM wana ARIS, UDOM pia wana ARIS, Tumaini Iringa nao wana yakwao sijui wanaiitaje, St. Augustine nao hivyo hivyo.
 
IAA arusha,nao ni manual.alafu eti wanafundisha IT
 
Ata baadhi ya college za SAUT ni ****** mtupu...yani web site zao zina dead link yani unafungua matokeo ya Law yanayofunguka ni Education na apo apo wanafundisha IT....
 

Acha unafiki mkuuu, huu ni mtandao wa watu wasiokuwa na majungu!!! wewe kuwa muwazi kuwa ni CHUO CHA SUA!!!!
 
Hata vyuo vya kata wanatazama matokeo yao kwenye mtandao vitakuwa vyuo vya hotel management na utalii
 
Tosha na chief mp mmekisahua SEBASTIAN KOLOWA TUMAIN UNIVERSITY COLLEGE (SEKUCO) kitu online
 
ifm nasikia wana account kama jf hadi picha unaupload kidogo wao watakuwa wameendelea kwenye hilo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…