Mfano huyu mruka nje kila uchao eti alitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu kaatika Sheria (kwa kusuluhisha migogoro katika afrika) ya UDSM last year wakati mikataba mibovu na ya kihuni inafanyika chini ya uongozi wake kila uchao toka akiwa waziri wa nishati, nje na sasa ndo bwerereeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Je, huyu anaweza hata kufunga viatu vya Shaban Robert?? Siasa zikingia kwenye elimu nchi haina tija tena na hatimaye ni taifa mfu lisilo na fikra pevu na komavu katika kujiletea maendeleo. SHABAN ROBERT atakuja tambuliwa na viongozi na wanazuoni wasiokuwa na mlengo wa siasa na elimu za kutibu njaa!!!!Nashindwa kuelewa sababu ya huyu Shaaban Robert ambaye anafananishwa na shakespere hapa Tanzania kutopewa hata shahada ya heshima ili kuienzi kazi yake lakini kuna watu wanatunukiwa tu hizo shahada pasi na kustahili.
Shaban Robert ni mtunzi mahiri mno wa wakati wake na wakati huu. Anastahili tuzo nyingi. Yupo daraja la kina Kezilahabi, Ibrahim Hussein n.k. Falsafa aliyoweka kitabu cha ''Kufikirika" na "Kusadikika" ni nzito na ni kama zinaicheka Tanzania ya leo ktk uongozi mbaya, ufisadi, umbumbumbu ktk mikataba n.k. Tutamuenzi sie wanyonge wenzake.
Shaban Robert ni mtunzi mahiri mno wa wakati wake na wakati huu. Anastahili tuzo nyingi. Yupo daraja la kina Kezilahabi, Ibrahim Hussein n.k. Falsafa aliyoweka kitabu cha ''Kufikirika" na "Kusadikika" ni nzito na ni kama zinaicheka Tanzania ya leo ktk uongozi mbaya, ufisadi, umbumbumbu ktk mikataba n.k. Tutamuenzi sie wanyonge wenzake.