Vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kufunguliwa mwezi january 2014

Vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kufunguliwa mwezi january 2014

Basegeta

Senior Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
110
Reaction score
11
Kuna rummours kuwa vyuo na taasisi za elimu ya juu huenda vikafunguliwa mwezi wa kwanza 2014.
Anayejua anijuze
 
hasa mlioko mavyuoni, tunaomba mtusaidie,
 
Yah!Inawezekana maana JKT wana intake nyingine ya september so nadhani ni mpaka mwakani ndiyo vyuo vitafunguliwa!Wenye detailed information wazimwage hapa jamvini.
 
ofkoz ni kwel bt itawahusu first year students only bt kwa continous haitawaathr,from UDSM
 
rafk angu kaenda ifm kuomba direct ,yeye amesoma uganda.kaambiwa chuo january na lecture.
 
nadhani kama hii itatokea, basi itawahusu first year, ila bado ni fununu tuu hamna tamko rasmi kuhusu hilo. Na pia kwa tuliomaliza mitihani sasa hivi ni likizo hakuna habari zozote za tofauti tulizopewa kwa hiyo kama ni kufungua Januari labda itawahusu mwaka wa kwanza.
 
Kwani tcu imeshatoa tamko rasmi? Na je intake ya sept jkt itakamilisha idadi yote ya wanafunzi ambao hawajaenda?
 
I think ni tetesi tu kwani almanac za vyuo hazioneshi kitu kama hicho. Na mambo ya vyuo vikuu huwa yanaendeshwa kwa utaratibu maalumu na sio hisia za watu wachache.
 
Sio kweli,kwa mfano chuo ka ud,form one mnatakiwa kureport chuo kuanzia tarehe 21/sept/2013.over
 
Perry, how come you call them form ones?
 
Last edited by a moderator:
Sio kweli,kwa mfano chuo ka ud,form one mnatakiwa kureport chuo kuanzia tarehe 21/sept/2013.over

Umejishusha sana, rudisha miaka minne nyuma then ukaulizwe cheti chako...mie sijue utaleta kipi!
 
Kuna rummours kuwa vyuo na taasisi za elimu ya juu huenda vikafunguliwa mwezi wa kwanza 2014.
Anayejua anijuze
Duuh kama hii itakua kweli nawaonea huruma hao ma lecturers na ma TA...maaana watakua watafundisha mpaka wachoke..january continueing students wanakua wanakaribia kupiga piga test nyingi na wengine ndo wanaanza daaahh..!!!
 
Hamna intek ya mweziwa tisa ndo maana walichagua wenye division 1,2 na 3 kwa sayansi
:A S-key:
 
Back
Top Bottom