Vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kufunguliwa mwezi january 2014

Mm nilikwenda tcu na wakaniambia tuctiane kasumba na kama kuna mabadiliko yyt bas tungeambiwa..hakuna tangazo official lililosema kama chuo january..na almanac zote za vyuo zinaonyesha ni sep/oct
 
hakuna kitu kama hicho....chuo kikuu siyo sawa prrimary school jamn, halafu huyo anaye anzisha rumous kama hiz nan? coz i dont think kama mind yake in function well...may b he/she needs some consultation by a medical pple...chuo ni mwez sept kama kawa...acha upuuz kabisa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…