Vyuo vikuu vya maana vs vyuo vya kata

Vyuo vikuu vya maana vs vyuo vya kata

pelanya

Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
21
Reaction score
5
Kuna mjadala mkali sana umekuwa ukiendelea kuhusu elimu ya juu nchini kuwa shahada ya kwanza ya vyuo fulani ni ya maana kuliko shahada ya chuo kingine hili siwezi kupingana nalo kwani linahitaji utashi pia lakini sio kuita vyuo fulani ni vya kata

ila ninaloweza kuweka byana siku ya leo ni kuwa utashi wa waajili hasa hr,s yaani humani resources manager wana value aina fulani ya degree kutokana na ukongwe wa chuo katika kozi fulani mifano yangu itakuwa kama ifuatavyo ukiondoa kozi za education

tukianzia serikalini

diploma ya uongozi wa mahakama na sheria ya chuo cha ija -lushoto ina thamani kuliko degree ya sheria ya chuo kikuu chochote hapa tz

degree ya uongozi yaani public administration ya mzumbe ina thamani kuliko degree ya chuo kikuu chochote hapa tz

degree za kilimo au mifugo za sua zinadhamani kuliko za chuo chochote hapa tz

degree ya community development ya cdti - tengeru ina thaman kuliko degree ya aina hyo katoka chuo chochote hapa tz

dgree ya jounalism au public relation ya saut ina thamani kuliko ya chuo chochote tz

degree za kozi zote za engineering za dit na st joseph udsm ndo zenye thamani kuliko zingine

degree ya kiswahili political science mathematics history kingereza ndo zenye thamani ktk soko laajira kuliko zingine

kwa upande wa sekta binafsi

hakuna chuo cha kata tanzania ila waajiri wanaaangalia course content yako na pia wanaangalia kama chuo kina fundisha kitu kinaitwa compitence based education au kama la wanapima competence ya mtu katika nafasi husika na hasa waajiri wengi wanapenda kuangalia kama anaweza kukupa nafasi zaidi ya moja ili kuminimize cost yaan mf. Umesomea public relation and marketing hivyo anaweza akakupa nafas ya pr officer au at the same time ukawa marketing manager ndo maana yvuo ving sasa hivi vinajitahidi kuunganisha kozi yaani yaan kozi inakuwa na mtoto i mean mambo mawili yawe kitu kimoja mfano bachelor of education haina thaman sana kama haina mtoto ndo maana unakuta wanafanya ba with bs with nk bachelor of political science with public relation nk kwa hiyo someni vijana mambo ya kutishiana vyuo hyana maana kwani kila chuo kina thamani yake katika kozi fulani na si zote na pia katika suala la ajira hasa za serikali hawazanii sana kozi za vyuo vikuu wanapenda kuajiri watu kutoka katika institute zao na sio ovyo ovyo tu mf hata wakitangaza nafasi fulani utakuta wanaandika uwe una shahada au stashahada kutoka chuo fulani au kingine kinachotambuliwa na serikali mf uwe na shahada ya maendeleo ya jamii kutoka chuo cha maendeleo ya jamii tengeru au kingine kinachotambuliwa na serikali ni hayo tu wapendw leo nilitaka kuwaeleimisha tusome tujenge nchi yetu asante
 
Kuweni na akili zilizopevuke(matured) nyie mnaooitwa wasomi wa Tanzania. Hivi can you tell us, what kind of contribution hii thread inatoa kwa ukuaji wa elimu ya Tanzania. Thread za namna hii zimekuwa ni nyingi sana, ni kibaya zaidi hata watoa thread wanaonekana uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.

Hata hii thread yako ina mtitiririko utadhani ni mtoto wa darasa la kwanza..jaribu kukua hasa kwenye fikra zenu, haya mnayoandika hapa, yanasomwa na watanzania wengi na hata ndugu zetu wa karibu yaani EA. Kwa mawazo kama haya nadhani ndio maana wasomi wa Tanzania tunaonekana wa kawaida mbele ya wenzetu ndani ya EA. Nawashauri wasomi wa Tanzania, thread za namna hii zinaonyesha kuwa bado tuna fikra zisizopevuka sawa sawa. Tuweka hapa thread zinazoweza kusaidia kupandisha elimu kwenye shule zetu na vyuo vyetu.
 
Nguvu mnazotumia kulinganisha udsm na vyuo vngne ni kubwa mno,mi nawashauri muwahusie wadogo zenu wa advance wakaze msuli wacjeangukia ktk vyuo vinavyoitwa vya kata.
 
ninannaga coment zak najua n mtu na akil zako kumbe na wew n hamna mim nimefanya kaz ofisi za hr karibia miaka 5 sasa na nimeshirik semina na workshop nying kuhusu elim n ajira hapa nchin nimetoa iyo mada kama msaada kw wenzangu ili wasije wakawa wahanga wa kuzunguka na bahasha kama wewe ulipo omb kaz tukakutolea nje usbishe tu hata wa darasa la saba anaweza kuwa na fikra chanya kuliko zako hvyo mim nakuomb usome vtabu kw wing ili kupanua kichwa chako kwn kuna daras la sab wanadiproma zao na wanafanya kaz vzur kuliko mweny degree na nina was was na elimu yko kwan nahsi hata kama umegraduate hali ya uchumi haikuwa nzur so ulikuwa na njaa san kipnd ch mitihan ikaifanya akil yko iskip baadh y vit kama hukusuma human resourse bas usingecoment kabsa
 
ila ukweli utabaki palepale vyuo vya kata vipo, ww umeona wapi chuo kikuu tutorial anapiga lecture?.
 
mkuu naona umejaribu kurekebisha watu wanaobishana kuhusu vyuo,mabishano hayo hayana mwisho kama mihadhara ya waislam na wakristo,kila cku wanabishana bila muafaka
 
Me nimeamini ukizaliwa afrika lazima uwe na laana me siwezi kumlaumu huyu jamaa kwa sababu laana yake imeeanza kujionyesha wazi. 1) Tanzania hii aliyesoma nje au bongo alisoma teku au Udsm wote mshahara sawa. 2)Aliyekuwa na GPA. Apper or gentlemen wote mshahara sawa. 3)ni lini serikari yetu hii ikatoa tamko kwamba kuna degree bora na sio bora. 4) ni lini T C U imetoa tamko kwamba tanzania kuna vyuo vikuu vya kata? Ambayo hii taasisi imepewa dhamana na serikari. Note jamani tukubali mabadiliko ya elimu hapa Tanzania tusiwe na mawazo ya mwanamke mwenye mimba kila kitu kwako ni chuki tu? Ukwel ubaki kuwa ukwel kwamba elimu ya bongo ni jitiata binafsi hakuna geneous wala kilaza! Ata kama ukisoma chuo gani hapa duniani kama una support au Rushwa haki ya Mungu upati kazi ngoo. Nimeshuhudia mikasa mingi hapa Tanzania juu ya kupata ajira awe umesoma UDSM,UDOM,Mzumbe,sauti. Kama una pesa inakula kwako. Napenda kutoa Rai Wasomi wa Tanzania kuweni na mitizamo huru kila unacho fikiri jalibu kufanya utafiti kila hoja uwe na Data,Wazungu wapo juu sana kwanza huwa hawalopoki kila kitu huwa kina Data. Big up sana wazungu
 
Watanzania acheni kulopoka tu kama mjinga dunia ya leo hii msomi anajulikana na aliyeenda kutembea chuo Kikuu akaja na degree anajulikana tu,me nina shaka na watu wa humu JF munatumia argumentum adbakulum. Me siwezi kuweka uzi humu JF kama sina Data,mifano halisi inayosadifu tukio, ila ukiwa kama msichana kigori kila mwanaume. Anaemuona anamtaka. Basi kila tukio ukisikia utakuja JF ,kuweni watafiti takuteni ukwel upo wapi ,
 
diploma ya uongozi wa mahakama na sheria ya chuo cha ija -lushoto ina thamani kuliko degree ya sheria ya chuo kikuu chochote hapa tz


Kweli akili ni nywere
 
Back
Top Bottom