Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Serikali sikivu ya chama cha mapinduzi inaendelea kuwaadhibu watoto wa wakulima na maskini wa Tanzania wanaosoma vyuo vikuu kwa uchelewesha pesa za kujikimu.
Wamafunzi toka vyuo vikuu wa vya Jordan,Muslim university,na SUA,mpaka sasa hawana dalili za kupewa pesa za kujikimu(BOOM)ambazo kihalali zilipaswa kulipwa tarehe tano ya mwezi huu.
lakini kwa mujibu wa mawazili wa mikipo toka vyuo hivyo ,wamethibitisha kuwa hakuna dalili ya kupewa leo wala kesho kutokana na hazina kuwa hoi kipesa huku pesa za kuongeza posho za wabunge zikwa zinapatikana.
Sasa wanafunzi wanajipanga kufunga barabara zote tatu,
wale wa JORDAN wanajipanga kufunga barabara ya moro-Dar,MUM nao wanakusidia kufunga ile ya Dodoma -Moro ,huku Sua wakijiandaa kufunga barabara ya Iringa Dar.
mkakati huo wa kufunga barabara kuu ni kushinikiza kupewa hazi zao kwakuwa wanafunzi hawa wanaamini kuwa jaki haiombwi.
Pia wanadai kuwa serikali ya chama cha mapinduzi haifanyi mambo bila mashinikizo toka kwa watu ambao inawatawala.
My.take
Kama wamafunzi hawa watafanikisha hili,litakuwa pigo jingine kwa chama cha mapinduzi kwa kuwa watakwamisha uchumi wa nchi kutokana na umuhimu wa barabara hizo.
Mwigulu nchemba ,kazi ndio hiyooo imeanza,wasomi uliokuwa unajivunia kuwa nao kwenye mkoa maalumu wa vyuo vikuu morogoro wa ccm wamegoma kuendelea kuteswa na chama chako.
Tupe majibu kwa nini mnawatesa vijana hawa?
Au ni mbinu zenu ili wauze miili yao ili kujikimu kimaisha?
CCM imeshakosa uhalali wa kuendelea kuwatesa watanzania.
Wamafunzi toka vyuo vikuu wa vya Jordan,Muslim university,na SUA,mpaka sasa hawana dalili za kupewa pesa za kujikimu(BOOM)ambazo kihalali zilipaswa kulipwa tarehe tano ya mwezi huu.
lakini kwa mujibu wa mawazili wa mikipo toka vyuo hivyo ,wamethibitisha kuwa hakuna dalili ya kupewa leo wala kesho kutokana na hazina kuwa hoi kipesa huku pesa za kuongeza posho za wabunge zikwa zinapatikana.
Sasa wanafunzi wanajipanga kufunga barabara zote tatu,
wale wa JORDAN wanajipanga kufunga barabara ya moro-Dar,MUM nao wanakusidia kufunga ile ya Dodoma -Moro ,huku Sua wakijiandaa kufunga barabara ya Iringa Dar.
mkakati huo wa kufunga barabara kuu ni kushinikiza kupewa hazi zao kwakuwa wanafunzi hawa wanaamini kuwa jaki haiombwi.
Pia wanadai kuwa serikali ya chama cha mapinduzi haifanyi mambo bila mashinikizo toka kwa watu ambao inawatawala.
My.take
Kama wamafunzi hawa watafanikisha hili,litakuwa pigo jingine kwa chama cha mapinduzi kwa kuwa watakwamisha uchumi wa nchi kutokana na umuhimu wa barabara hizo.
Mwigulu nchemba ,kazi ndio hiyooo imeanza,wasomi uliokuwa unajivunia kuwa nao kwenye mkoa maalumu wa vyuo vikuu morogoro wa ccm wamegoma kuendelea kuteswa na chama chako.
Tupe majibu kwa nini mnawatesa vijana hawa?
Au ni mbinu zenu ili wauze miili yao ili kujikimu kimaisha?
CCM imeshakosa uhalali wa kuendelea kuwatesa watanzania.