samahani wanajamii mi ni mhitimu wa kidato cha nne 2014-15.nilikuwa nahitaji msaada wenu naombeni mniambie vyuo pamoja na course zinazotolewa vyuoni hapo ambazo mtu anaweza kujiajili mwenyewe.tafadhalini sana nisaidieni ni muhimu!!!!!!
samahani wanajamii mi ni mhitimu wa kidato cha nne 2014-15.nilikuwa nahitaji msaada wenu naombeni mniambie vyuo pamoja na course zinazotolewa vyuoni hapo ambazo mtu anaweza kujiajili mwenyewe.tafadhalini sana nisaidieni ni muhimu!!!!!!