Vyuo vinavyotoa Advance Diploma

Vyuo vinavyotoa Advance Diploma

ministrant

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
754
Reaction score
1,478
Wadau naomba msaada wenu wa vyuo vinavyotoa Advance Diploma katika taaluma yoyote ambavyo vimesajiliwa na NACTE na muda wa kozi wanazotoa. Nitafurahi kama mtanitajia vilivyo katika mkoa wa Dsm
 
Mdau kama sijakosea kwa sasa hakuna vyuo vinavyotoa Advanced Diploma,badala yake vinatoka Bachelor Degree. Advanced Diploma ziliacha kutolewa mwaka 2008/2009. Iliyobaki ni Ordinary Diploma ambazo hutolewa kuanzia miaka miwili inategemea na kozi kama sijakosea. Wadau wengine watakuja kuongezea zaidi.
 
Muhimbili ipo Advance diploma ya DERMATOVENEREOLOGY, PAMOJA NA MEDICAL LABORATORY SCIENCES zote hizo ni miaka miwili, pia kozi hizo SIO Kwa direct Entry!!

Nenda kaombe sasa si umetaka kozi hizo hapo sasa!
 
Back
Top Bottom