Vyuo vinavyotoa Masters degree ambavyo havipo kwenye orodha ya TCU (Post-Graduate guide book)

Vyuo vinavyotoa Masters degree ambavyo havipo kwenye orodha ya TCU (Post-Graduate guide book)

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari wanaJF

Nilikuwa napitia kitabu cha TCU cha "Postgraduate Guidebook", Nikaona kuna baadhi ya vyuo kama CBE, TIA, IIA n.k ambavyo ni vya serikali na vinatoa hadi elimu ngazi ya Masters lakini kwenye kitabu hicho.

Hii inamaanisha hizo kozi hazitambuliki na TCU? Au TCU wamevisahau ku-update au shida ni nini? tusije kwenda tukaambiwa tumepoteza muda bure. Naomba kama kuna mhusika afikishe hili jambo mahali husika.

Nimeambatanisha guide book for reference.
 

Attachments

mbona kwenye kitabu cha "local under graduate guide book" cha TCU vipo hivyo vyuo, sasa kama vipo chini NACTVET basi wangeweka kwenye NACTVET huku TCU visingekuwepo. Wanachanganya hawa jamaa. Wizara husika ingetoa maelezo.
Yy asome Tu mpaka chuo kimeruhusiwa kutoa masters maana yake vinakidhi viwango sasa haya sijui nn awaulize wenyewe
 
Yy asome Tu mpaka chuo kimeruhusiwa kutoa masters maana yake vinakidhi viwango sasa haya sijui nn awaulize wenyewe
Una uhakika gani kama chuo kimeruhusiwa kutoa masters wakati regulator wa vyuo yaani TCU hawajakitambua kupitia postgraduate guide book? ndio mwanzo unaenda halafu waje waseme kozi haitambuliki.
 
Una uhakika gani kama chuo kimeruhusiwa kutoa masters wakati regulator wa vyuo yaani TCU hawajakitambua kupitia postgraduate guide book? ndio mwanzo unaenda halafu waje waseme kozi haitambuliki.
Yaani chuo ambacho kipo chini ya wizara ya fedha kozi yake ya uzamili isitambulike?

Tanzania Institute of Accountancy (TIA) nenda tu kasome.
 
Yaani chuo ambacho kipo chini ya wizara ya fedha kozi yake ya uzamili isitambulike?

Tanzania Institute of Accountancy (TIA) nenda tu kasome.
Sahihi kabisa hivi vyuo vyote ni vya serikali hawana longolongo kabisa chuo kama CBE,IFM, TIA ni vyuo vya zamani Sana hawana shida kabisa
 
Yaani chuo ambacho kipo chini ya wizara ya fedha kozi yake ya uzamili isitambulike?

Tanzania Institute of Accountancy (TIA) nenda tu kasome.
Kwani haiwezekani? Ina maana TCU katika kuandaa kitabu chao walizisahau hizo kozi? Pale TCU kuna wasomi wakubwa tu wanawezaje kusahau kuhakiki kozi za masters kwenye vyuo ambavyo ni vya serikali? Kuna mahali hakuko sawa.
 
Sahihi kabisa hivi vyuo vyote ni vya serikali hawana longolongo kabisa chuo kama CBE,IFM, TIA ni vyuo vya zamani Sana hawana shida kabisa
Sijasema vyuo vina shida ila baadhi ya kozi za masters zinazotolewa na hivyo vyuo hazitambuliki TCU. Na ukitaka ushahidi wa hilo ingia kwenye Guidebook yao TCU ya postgraduate halafu niambie kama utazikuta. usipozikuta maana yake TCU hawazitambui. Iliwahi kutokea baadhi ya undergraduate walisoma vyuo flani ambavyo vimesajiliwa ila baadhi ya kozi zao zilikuwa hazitambuliki na hivyo walishindwa ku-graduate wakati wenzao wanamaliza. TCU walitoa maelekezo kuwa kozi hazikuwa na viwango vinavyohitajika, so wanafunzi wakajikuta wanapoteza muda wa miaka 3. Kigezo cha kuwa ni vyuo vya serikali haimaanishi kozi zote zitolewazo zinatambulika.
 
Kwani haiwezekani? Ina maana TCU katika kuandaa kitabu chao walizisahau hizo kozi? Pale TCU kuna wasomi wakubwa tu wanawezaje kusahau kuhakiki kozi za masters kwenye vyuo ambavyo ni vya serikali? Kuna mahali hakuko sawa.
Unadhani kwa nini?
Huo ni uzembe na kutowajibika kwa watumishi waliopo TCU.
Hao wasomi huko vyuoni ndio wametapakaa
 
Toka mwanzo hiyo ndio ulitaka iwe ajenda yako ila ukaogopa direct criticism hivyo kuja kwa njia ya kinyumenyume.

Hizo kozi zinatambulika na hivyo vyuo vimepewa ruksa, ithibati na ruksa Toka TCU.

Bado TCU wanaregulate na kukontroo hizo kozi hapo vyuo tajwa.
Hivyo usijaribu kupotosha[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Habari wanaJF

Nilikuwa napitia kitabu cha TCU cha "Postgraduate Guidebook", Nikaona kuna baadhi ya vyuo kama CBE,TIA,IIA n.k ambavyo ni vya serikali na vinatoa hadi elimu ngazi ya Masters lakini kwenye kitabu hicho. hii inamaanisha hizo kozi hazitambuliki na TCU? Au TCU wamevisahau ku-update au shida ni nini? tusije kwenda tukaambiwa tumepoteza muda bure. Naomba kama kuna mhusika afikishe hili jambo mahali husika.
Nimeambatanisha guide book for reference.
Tofautisha taasisi ya elimu na vyuo vikuu. TCU ni regulator wa vyuo vikuu mfano Udsm, Udom. Hivyo vingi ulivyotaja ni taasisi za elimu mfano ifm, cbe. Nadhani kama sikosei katibu mkuu au mkurugenzi wa masuala ya elimu alitolea ufafanuzi jambo hili.

Pili hizo taasisi za elimu madhumuni yake ni kuwaendeleza wafanyakazi walioa katika sector inayoshughulika na taasisi hiyo mfano TRA inachuo Chao kinachohusika na mambo ya Kodi kwaajili ya kuwaendeleza watu wa mamlaka ya mapato
 
Tofautisha taasisi ya elimu na vyuo vikuu. TCU ni regulator wa vyuo vikuu mfano Udsm, Udom. Hivyo vingi ulivyotaja ni taasisi za elimu mfano ifm, cbe. Nadhani kama sikosei katibu mkuu au mkurugenzi wa masuala ya elimu alitolea ufafanuzi jambo hili.

Pili hizo taasisi za elimu madhumuni yake ni kuwaendeleza wafanyakazi walioa katika sector inayoshughulika na taasisi hiyo mfano TRA inachuo Chao kinachohusika na mambo ya Kodi kwaajili ya kuwaendeleza watu wa mamlaka ya mapato
Safi Sana
 
Tofautisha taasisi ya elimu na vyuo vikuu. TCU ni regulator wa vyuo vikuu mfano Udsm, Udom. Hivyo vingi ulivyotaja ni taasisi za elimu mfano ifm, cbe. Nadhani kama sikosei katibu mkuu au mkurugenzi wa masuala ya elimu alitolea ufafanuzi jambo hili.

Pili hizo taasisi za elimu madhumuni yake ni kuwaendeleza wafanyakazi walioa katika sector inayoshughulika na taasisi hiyo mfano TRA inachuo Chao kinachohusika na mambo ya Kodi kwaajili ya kuwaendeleza watu wa mamlaka ya mapato
Sio kweli
Elimu ya kuanzia shahada ya kwanza(Bachelor degree), Uzamili(Masters) na Uzamivu( Doctorate) matokeo yao hutumwa TCU.
Wanafuata muongozo na time table itolewayo na TCU.
Wanafuata masomo kulingana na taratibu za TCU
TCU ndio wanaregulate na kukontroo hizo taasisi.

Ila kwa ngazi ya Stashahada( Diploma) na Certificate (Astashahada) ndio wako regulated na Nactevet zamani NACTE.

Kumbuka Kuna tofauti ya University na Institute ambazo ni academic.
Ila Institute huwa onabase na jambo moja na Hilo jambo huwa competent kweli kweli
Mf TIA
IFM
IAA
MIST
DIT
NIT
DMI

Kumbuka chuo Bora Cha Teknolojia duniani ni Massachusetts Institute of Technology (MIT)
 
Sio kweli
Elimu ya kuanzia shahada ya kwanza(Bachelor degree), Uzamili(Masters) na Uzamivu( Doctorate) matokeo yao hutumwa TCU.
Wanafuata muongozo na time table itolewayo na TCU.
Wanafuata masomo kulingana na taratibu za TCU
TCU ndio wanaregulate na kukontroo hizo taasisi.

Ila kwa ngazi ya Stashahada( Diploma) na Certificate (Astashahada) ndio wako regulated na Nactevet zamani NACTE.

Kumbuka Kuna tofauti ya University na Institute ambazo ni academic.
Ila Institute huwa onabase na jambo moja na Hilo jambo huwa competent kweli kweli
Mf TIA
IFM
IAA
MIST
DIT
NIT
DMI

Kumbuka chuo Bora Cha Teknolojia duniani ni Massachusetts Institute of Technology (MIT)
Lazima uelewe unaposema wana regulate na ku control kwenye hizi taasisi kwenye nini? Sio general kama wewe ulivyoiweka. Pili hoja yako ilikuwa kutotambulika kwa baadhi ya kozi za postgraduate katika taasisi za elimu na TCU Sasa MIT kuwa chuo Bora what is the relation?

Pili hoja yako ilikuwa kwamba kozi hizo haziko kwenye guide book ya TCU je umewaandikia TCU email na kuwa wauliza au kwenda physical kwenye ofisi zao na kupata jibu?
 
Sio kweli
Elimu ya kuanzia shahada ya kwanza(Bachelor degree), Uzamili(Masters) na Uzamivu( Doctorate) matokeo yao hutumwa TCU.
Wanafuata muongozo na time table itolewayo na TCU.
Wanafuata masomo kulingana na taratibu za TCU
TCU ndio wanaregulate na kukontroo hizo taasisi.

Ila kwa ngazi ya Stashahada( Diploma) na Certificate (Astashahada) ndio wako regulated na Nactevet zamani NACTE.

Kumbuka Kuna tofauti ya University na Institute ambazo ni academic.
Ila Institute huwa onabase na jambo moja na Hilo jambo huwa competent kweli kweli
Mf TIA
IFM
IAA
MIST
DIT
NIT
DMI

Kumbuka chuo Bora Cha Teknolojia duniani ni Massachusetts Institute of Technology (MIT)
Sasa hiyo tofauti unayosema ndio nimekuandikia kwamba Kuna tofauti Kati ya taasisi ya elimu na chuo kikuu Sasa umerudia ya nini? Kumbe unajua kwa hiyo TCU ni Tanzania commission for universities na sio Tanzania for technical education
 
Back
Top Bottom