Vyuo vingi vinafanana elimu, shida inakuja wapi kuna baadhi ya vyuo ni nadra kuwakuta wahitimu maofisini?

Vyuo vingi vinafanana elimu, shida inakuja wapi kuna baadhi ya vyuo ni nadra kuwakuta wahitimu maofisini?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
System ya elimu ya hapa Tz inafanana karibu vyote Tanzania

  • Lecturers wengi wa vyuo vya Tanzania ni wahitimu UDSM
  • Walimu wengi hawaandai notes zao, wanatumia notes za mitandaoni kufundishia darasani.
  • Wanafunzi wengi wanasoma kwa kukariri sana kwasababu lugha ni changamoto

Jambo la kushangaza, Linapokuja suala la ajira hali ni tofauti kabisa,

Kuna chuo flani kimejaza nyomi ya wahitimu maofisini nadhani wote mnakijua, ni chuo mhitimu ana chance kubwa wa kuajiriwa (sijasema wote wanaajiriwa).

Vyuo vinavyofuatia vimo vimo kwa wastani ila sio sana (Mzumbe, Udom, DIT, MUST, IFM, TIA, n,k)

Halafu kuna vyuo kama Cbe, utumishi ni nadra kukuta uwepo wao maofisni, (wapo lakini ni nadra)

hali ni mbaya zaidi kwa vyuo vya private kama Tumaini, Teku, n.k.
 
Unajua nini. Kiukweli option namba 1 ya mwanafunzi yeyote mwenye anayetaka diploma au degree ni vyuo vya serikali. Wakikosa hivyo vyuo ndo wanaenda kwenye vyuo binafsi.

Maana yake ni kwamba vyuo vya serikali vinachukua the best students... Wanaosalia ndo wanaenda vyuo vingine.

So hata kwenye interview wale wa vyuo vya serikali wanaibuka kidedea kwa sababu ni smart.
 
Kuna kile chuo kipo moro MM hiki chuo wakihitimu wanaendaga kufanya kazi wapi 💩... Maana huwez kuwaona popote sijui kwasababu hawaaminiki na elimu yao ni duni sana... Au wanaendaga uarabuni 🤣
 
Kwani dhumuni la kusoma ni wewe kukutwa ofisini?
kwa elimu yetu ya hapa bongo hakuna haja ya kupepesa maneno, wengi wanasoma ili waajiriwa ndio maana wahitimu wakikosa ajira hujiajiri kama watanzania wenye elimu ya kawaida kama kuchuuza bidhaa madukani, kilimo, ufugaji, n.k
 
Unajua nini. Kiukweli option namba 1 ya mwanafunzi yeyote mwenye anayetaka diploma au degree ni vyuo vya serikali. Wakikosa hivyo vyuo ndo wanaenda kwenye vyuo binafsi.

Maana yake ni kwamba vyuo vya serikali vinachukua the best students... Wanaosalia ndo wanaenda vyuo vingine.

So hata kwenye interview wale wa vyuo vya serikali wanaibuka kidedea kwa sababu ni smart.
Watu wanapenda vyuo vya serikali kwasababu ya ada nafuu, Private ada ni kubwa.

Vyuo vya serikali vnagombaniwa zaidi, nafasi zikiisha mbadala unayobaki ni private

Halafu vyuo vingi vya private ni ngumu kukuta wifi, generator, projectors, n.k. Lecturers wa private wanalipwa mishahara midogo kuzidi wenzao wa vyuo vya serikali.
 
System ya elimu ya hapa Tz inafanana karibu vyote Tanzania

  • Lecturers wengi wa vyuo vya Tanzania ni wahitimu UDSM
  • Walimu wengi hawaandai notes zao, wanatumia notes za mitandaoni kufundishia darasani.
  • Wanafunzi wengi wanasoma kwa kukariri sana kwasababu lugha ni changamoto

Jambo la kushangaza, Linapokuja suala la ajira hali ni tofauti kabisa,

Kuna chuo flani kimejaza nyomi ya wahitimu maofisini nadhani wote mnakijua, ni chuo mhitimu ana chance kubwa wa kuajiriwa (sijasema wote wanaajiriwa).

Vyuo vinavyofuatia vimo vimo kwa wastani ila sio sana (Mzumbe, Udom, DIT, MUST, IFM, TIA, n,k)

Halafu kuna vyuo kama Cbe, utumishi ni nadra kukuta uwepo wao maofisni, (wapo lakini ni nadra)

hali ni mbaya zaidi kwa vyuo vya private kama Tumaini, Teku, n.k.
Kila muwamba ngoma ngozi huvutia kwake. CEO au Director wa HR aliyesoma chuo A wengi wao hupendelea kuajiri wafanyakazi kutoa chuo A alichosoma yeye.Period
 
Back
Top Bottom